Nini kinaikumba Japan? Mwakani India inaipiku na kuwa Taifa la tatu lenye uchumi mkubwa Ulimwenguni

Nini kinaikumba Japan? Mwakani India inaipiku na kuwa Taifa la tatu lenye uchumi mkubwa Ulimwenguni

Maendeleo ni uwekezaji, hata kama una population billion na huja invest on them (Kuwaelimisha) hakuna kitu watafanya.
 
Pia Japan imejaa wazee! Mambo ya uzazi wa mpango usio na mpango umejibu.
Mbaya zaidi, Japanese wanajiona watu maalumu hawana utamaduni wa kukaribisha wageni - ni wabaguzi.
Mbona Uingereza na Germany zote zimepitwa na India pia na zimejaa wageni?

Hiyo sio sababu ya msingi ,elewa kwamba wamefikia kiwango Cha Juu zaidi Cha Maendeleo with full employment of resources,only technological innovations will determine their fate.

On top of that Elimu Huwa Ina kawaida ya kufanya watu wasizaane ,elewa hilo.
 
Hicho ni kidi
Kipindi hiko India ikinunua kwa wingi kutoka Japan (na kwingineko) sasa haifanyi tena hivyo badala yake inazalisha yenyewe na kuuza nje. Export ikianza kuzidi import lazima uchumi ukue. That means kile kiasi ambacho Japan alikuwa anauza India (na kwingineko) kimepungua sana hivyo lazima uchumi wake usinyae.

Pili, purchasing power ya normal Indians imekuwa tofauti na miaka ya nyuma. Mnazalisha na kununua wenyewe na surplus Mna-export lazima uchumi uwe mkubwa plus population. Utaona India imeanza kuzidi Japan kwa aspects muhimu za kiuchumi.
Hicho ni Kisingizio export market haijapungua Duniani inazidi kuongezeka
 
Kinachoitesa Japan na nchi za ulaya ni waliwekeza nguvu nyingi katika social issues wakasahau katika maendeleo,

Yan wao kutumia pesa nyingi kwenye Climate change, sijui haki za wanyama, mara pesa kwa ajiili ya wazee etc, sasa nchi nying uchumi wao una collapse, hakuna makampuni makubwa yanayozaliwa tena, nguvu kasi inakimbilia USA,
Hizo sio sababu za msingi ,sababu kuu ni negative population growth,hata huko USA itafikia siku Moja in case sera za kuzuia wahamiaji zinaendelea maana hao ndio wanaochochea Nguvu kazi Mpya na ongezeko la watu.

Nchi zote ulizotaja hapo Juu zinahitajia Nguvu kazi na Zina import ilimradi tuu uwe skilled kwenye gani za kipaombele ,the same to Canada, Australia nk
 
kwani kuna umuhimu gani kunapoongezeka pato la taifa ikiwa wananchi ni dhofu hali!!!

serikali zijitahidi kupunguz kodi,misaada ya nje na ijikite kuwaongezea thamani watu wake kwa kuwapa elimu.
Kwa Utafiti wangu,Elimu inaounguza Kasi ya kuzaliana matokeo yake ni kupungua Kwa Nguvu kazi ndicho kinawakumba Japan na Western Europe na kimeanza kuwakumba China Kwa Sasa.
 
Nchi nyingi huko East Asia nazo zinazalisha na kuuza sana bidhaa za viwandani tena zinazalisha Kwa ubora wa Hali ya juu na bei rafiki kidogo, hivyo nchi huko hazinunui sana kama zamani, zinanunua kidogo tu...

Nyingine nadhani ni ile Hali ya wajapani kujiona ni superior kweli kweli zaidi ya wengine Leo hii wachina wapo Kila mahali Hadi porini vijijin ndani kiasi ambacho huwezi kufikiria Yani kama ilivyo Kwa wazungu miaka ya zamani ndivyo wachina wanavyopitia hiyo stage ya kusaka taarifa, wahindi nao Kila mahali wapo, hivyo hiyo hali inaweza kupelekea arrogance na kutokubadilika katika mikakati, njia na namna gani unaweza kuingia kwa nguvu kwenye soko.

Nyingine, ni ile Hali ya confusion kipi cha kufuata kiutamaduni, Mila na jadi. Nafikiri wajapani wapo kwenye dilemma ya fikra Kwa namna gani na njia ipi ya kiutamaduni tuifuate, japani ni miongoni mwa nchi zilizoendelea zinazofuata na kupenda tamaduni zao kindakindaki, lakini Sasa vijana wa Sasa wako dilemma wafuate kipi kati ya kile wanachoambiwa na wazee wao (ambao wako wengi nao) au waende jinsi dunia inavyoenda, wahafidhina wakijapani huona kama taifa lao linaharibika Kwa kufuata sana ya nje, hii hupelekea ugumu na kutokutekelezeka Kwa baadhi ya mambo hasa yanayohitaji umoja (umoja ni uchumi) hivyo Kila mmoja anapigana vita yake mwenyewe kitu ambacho si kizuri Kwa future ya pamoja ya uchumi wa nchi.

But still, Japan wana bidhaa Bora sanaaa ambazo zimewaacha mbali mataifa mengi tu ya Ulaya.
Social vs economic reasons
 
JAPAN bado wako vizuri. Wakiwa wa nne bado si mbaya. Je vipi Tanzania ambayo hata uzalishaji wa mihogo tu ni shida. Tunazalisha machawa na hatuna pa kuwaexport. Tuna surplus ya machawa. Nadhani tuangalie namna ya kujikwamua sisi na si kuwashangaa waliofanikiwa au wanaofanikiwa.
Tutafika huko miaka ijayo.Projection inasema by 2100 tutakuwa miongoni mwa mataifa 10 yenye watu wengi Duniani and the economy so ni circle tuu ndio maana Kwa Sasa huwezi ikosa 🇹🇿 kwenye top 10 ya Uchumi,uwekey, population growth kwa Africa.
 
- Sababu za japan kushuka kiuchumi ipo Ki demographia zaidi, ina idadi kubwa ya Wazee ambao ni tegemezi japo pia wanatumia sana Robotics kwenye uzalishaji

- India imewekeza sana kwenye viwanda vyake vya nyumbani, hawaencourage habari ya kuagiza vitu kutoka nje, na nchi yoyote ikisimamia hapo lazima ikuwe kiuchumi
 
Wote mnaosema india wako vizuri .........sasa mkipewa nafasi ya kwenda kuishi japan au india ..........wote mtachagua japan...........ndio mjue japan kutamu sana...........huko india wanalala mpaka barabarani wanakula vitu vichafu vichafu wako kama misukule yaani hawaeleweki.......hata kuabudu kwao ni kisanga maana kuna wengine wale sijui wa dini ya shetan wako uchi tu masaa 24 kazi kujipaka unga na kukaa pembezoni mwa bahari
Kuwa na GDP kubwa Haina maana uko vizuri kwenye welfare ,elewa hilo ila unakuwa na Nguvu za kiuchumi.

Itachukua mda Kwa Watu wa India kuwa na welfare nzuri Kwa sababu wao ni wengi sana so wanatakiwa wawe na Uchumi mkubwa mara 2 au zaidi ya walionao Japan ndio pengine wanaweza kuwa na welfare nzuri Kwa watu wake.
 
- Sababu za japan kushuka kiuchumi ipo Ki demographia zaidi, ina idadi kubwa ya Wazee ambao ni tegemezi japo pia wanatumia sana Robotics kwenye uzalishaji

- India imewekeza sana kwenye viwanda vyake vya nyumbani, hawaencourage habari ya kuagiza vitu kutoka nje, na nchi yoyote ikisimamia hapo lazima ikuwe kiuchumi
Kwanza Japan haijashuka uchumi ila Kasi ya ukuaji ndio Iko slow kiasi kwamba inapitwa na wenye Kasi kubwa.

Ila sababu Yako ni ya msingi.
 
India wanauchumi mkubwa lakini raia wake wengi ni masikini na bado technolojia Yao Iko chini sana.

Japan watu wengi wanaishi maisha mazuri na technojia yao iko juu sana.
Hatua waliyofikia India ndio safari ya ahadi hiyo,huwezi pata hicho unachosema bila kuwa na Uchumi mkubwa.

Watu ndio mtaji mkubwa
 
Wabongo bana kwa kushindanisha nchi za wengine kiuchumi. Yani sisi wenyewe tu hata kunya hatunyi ipasavyo.
View attachment 3160277
Hata Nchi yetu tunaishindanisha mbona? Kwa Sasa tuko top 10,miaka 15 iliyopita hatukuwepo.

Nina uhakika kufika 2030 tutakuwa tumewapita kina Ivory Coast,Angola na tutakuwa tuko sawa na Kenya na kabla ya 2032 tutakuwa tumewapita Kenya na kuwa wa 6 Afrika Kwa Uchumi mkubwa .
Screenshot_20241023-165329.jpg


Nachoweza kukuhakikishia ni kwamba kabla ya 2040,Kuanzia kina Morocco hao watakuwa mkiani na Tanzania na DRC zitachukua nafasi hapo Juu.
Screenshot_20241024-071354.jpg
 
India ina idadi kubwa sana ya watu na birth rate yao inazid kuongezeka kila kukicha Ndio maana Magufuli(RIP) akasema mzaliane akiamini population ikiwa kubwa basi uchumi utakuwa mkubwa
Huyu mzee alikuwa na maono.
 
Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40.

Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena.

Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata mafuta kwa bei chee sana kutoka Urusi, Ilihali Japani yeye akiwa ameungana na Marekani kuiweka Urusi vikwazo amnavyo vinaithori sana Japani.
View attachment 3160033
Nguvu Kazi ya taifa hakuna tena..
 
Kuwa na GDP kubwa Haina maana uko vizuri kwenye welfare ,elewa hilo ila unakuwa na Nguvu za kiuchumi.

Itachukua mda Kwa Watu wa India kuwa na welfare nzuri Kwa sababu wao ni wengi sana so wanatakiwa wawe na Uchumi mkubwa mara 2 au zaidi ya walionao Japan ndio pengine wanaweza kuwa na welfare nzuri Kwa watu wake.
Thubutruuuuuuuuu na muda huo japan anasubilia tu apitwe ...?? Hata huyo mchina alimpita ki bahati nasibu tu maana baada ya kupata tsunami ndio iliwezekana .......ile tsunami iligonga kama theruthi ya japan nzima ........ na kama isingekuwa madhoruba yanayoikumba japan.........basi hilo ni mpaka yesu angerudi ndio ingepitwa
 
Hatua waliyofikia India ndio safari ya ahadi hiyo,huwezi pata hicho unachosema bila kuwa na Uchumi mkubwa.

Watu ndio mtaji mkubwa

India anapopulation kubwa sana na tayari mfumo wao niwakizamani, kuwafanya wengine kuwa slave na wengine matajiri.
Wengi masikini kutumikia wachache mabwanyeye, na sio akili ya kuboresha life standard ya watu kiujumla.

Itawachukua miaka mingi kuwafanya watu wake wawe na life standards kama ya wajapani, lakini pia wahindi wanakufa sana hovyohovyo ilihali life span ya wajapani iko juu sana maana umasikini ni kama haupo, njaa na maradhi ya hovyohovyo hawana pia.

Kumbuka pia Japs ( wajapani) walipigwa Sana mabomu na kusambaratishwa miaka ya 1945 Wakiitwa "Giant of Pacific" lakini imewachukua miaka michache kujijenga upya na kuchagua kuishi low profile.
Still bado Japs wanaresources zote kuweza kufika wanataka kuliko India ni vile tu wameamua kuwa low profile, huwezi kukuta product za mhindi Japani lakini unaweza kukuta products nyingi sana za Mjapani India.
Toyota iko India, Suzuki Iko India, mitsubishi ipo India, Hitachi ipo India, Komatsu ipo India, Kobelco India, nk lakini huwezi kuikuta Tata Japani.
 
Ukuaji mzuri wa uchumi ni ule unaoendana na maisha Bora ya watu.

Huwezi ukasema Una uchumi mkubwa huku watu wako wengi ni masikini.

Uzuri WA hawa wenzetu kila kitu kipo under control na kunakuwa na pre-plan + plan ( short term na long term).
Hao Japs tunaowasema wanajua nini wanafanya, na hata hiyo issue ya population si-ajabu kwenye secret papers zao tayari kuna plan, wameamua kuwa low profile.

Ogopa nchi ambayo ilishamaliza ujinga ujinga wote kama kama wizi, rushwa, ubinafsi, maradhi, umasikini, ujinga.
Africa tuna maneno mengi sana, tunapaswa Kwanza kumaliza Ujinga, umasikini, maradhi, wizi, ubinafsi nk halafu ndio tukuze uchumi, huu uchumi wa kwenye makaratasi ilihali watu wako bado wajinga, wezi, wala rushwa, wanakufa bado kwa malaria na kipindupindu ni upumbavu tu.
 
Ukuaji mzuri wa uchumi ni ule unaoendana na maisha Bora ya watu.

Huwezi ukasema Una uchumi mkubwa huku watu wako wengi ni masikini.

Uzuri WA hawa wenzetu kila kitu kipo under control na kunakuwa na pre-plan + plan ( short term na long term).
Hao Japs tunaowasema wanajua nini wanafanya, na hata hiyo issue ya population si-ajabu kwenye secret papers zao tayari kuna plan, wameamua kuwa low profile.

Ogopa nchi ambayo ilishamaliza ujinga ujinga wote kama kama wizi, rushwa, ubinafsi, maradhi, umasikini, ujinga.
Africa tuna maneno mengi sana, tunapaswa Kwanza kumaliza Ujinga, umasikini, maradhi, wizi, ubinafsi nk halafu ndio tukuze uchumi, huu uchumi wa kwenye makaratasi ilihali watu wako bado wajinga, wezi, wala rushwa, wanakufa bado kwa malaria na kipindupindu ni upumbavu tu.
 
Thubutruuuuuuuuu na muda huo japan anasubilia tu apitwe ...?? Hata huyo mchina alimpita ki bahati nasibu tu maana baada ya kupata tsunami ndio iliwezekana .......ile tsunami iligonga kama theruthi ya japan nzima ........ na kama isingekuwa madhoruba yanayoikumba japan.........basi hilo ni mpaka yesu angerudi ndio ingepitwa
Kwani saizi alivyopitwa alikuwa hasubiri? Kati ya India na Japan Nchi gani Ina middle resources nyingi na Nguvu kazi?
 
Kwani saizi alivyopitwa alikuwa hasubiri? Kati ya India na Japan Nchi gani Ina middle resources nyingi na Nguvu kazi?
Wewe jua japan kuwa juu ni mpango wa mungu.............haiwezekani watu bilioni na usheeeeee uwapambanishe na watu milion sijui kumi na kitu sijui ishirini na kitu harafu watoke msuli sawa.......wewe mwenyewe uogopi??
 
Back
Top Bottom