Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Nini kinakuvutia zaidi katika simu janja(smartphones) kutoka kampuni ya Samsung?

Simu yangu SAMSUNG A22...yaani sijui nianzia wapi ila nitaorodhesha mchache

1.Secure Forder hii huwa binafsi naiita MY POCKET yaani documents zangu mbalimbali za App yoyote ambazo sihitaji nikimpa mtu azione huwa nazipeleka kule foa a minute.

2.Kuna hii Navigation Panel..hii imeka kinyama sana hapo nakutana na Compas direction yangu hta nikiwa porini lazima nipate uelekeo pili Calenda inakaa hapo na Mazaga yote..

3.kuna kitu inaitwa Color Pallette hapo sasa simu inaenda kwenye ulimwengu mwengine kabisa tofauti na hizo Simu zenu za kichina uana set unavyotaka mqenyewe.

4.Side Key [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

5.Samsung Music na Video hasa upangiliaji wa Playlist na Pop up view

6.SAMSUNG NOTES..ukija kwenye hii huwe zitumia hiz app nyengine za Google sijui One note au Google Keep notes..Samsung Notes inavitu vingi sana kama wewe ni mtu wa kuandika na kuhifadhi kumbukumbu kwanzia kwenye Colors zake fonts n.k

7.Super Amoled display yake ikiwa na 120hz na 60hz hapo ni options yako tu...ndani ya settings zake unaweza set kuwa Natural ama Vivid...

8.Option za Battery..hapa kwenye hii Samsung yangu kuna limit ya 85% inajaa na unaweza iacha normal kuwa 100..kisha kwenye power saving option zipo mbili ya kawaida na ya kulimi App (Maximum power saving) ukiweka hii simu ikiwa imebaki na 50% inakwambia itakaa siku 7 mbele na inakaa kweli[emoji119] kwa tunaozungua Porrin hii ndio mkombozi..ikiwa na Type C charge 15W

9.Kikubwa engine naipenda hii simu nilinunua sababu ya Display yake ndogo sana 6.4..[emoji91][emoji91](wengine hatupendi displays za 6.6 kama simu hizo za Chinese .

10.Last napenda Samsung coz kila karibu miezi miwili lazima wakuletee Security updates na One UI updates kwa kila msimu.

SIWEZI HAMA Samsung devices labda ku upgrades [emoji16][emoji16]
N unyama uliopitiliza
 
Hii ni software ya Xiaomi na hii ni moja ya themes zake. Samsung ndio anaiita Color parlete kwenye simu zake.
Nilikuwa tu nataka nikuoneshe tu kuwa hata Mchina hayo mambo anayo. View attachment 2550216
Caller app na sms app za hao unaowatangaza hawana tofauti na tecno, kifupi hakuna unyama wowote humo, njoo samsung ujionee raha ya kupiga simu na txt... feature mingi unyama sana
 
Caller app na sms app za hao unaowatangaza hawana tofauti na tecno, kifupi hakuna unyama wowote humo, njoo samsung ujionee raha ya kupiga simu na txt... feature mingi unyama sana
Kwa kweli nimeona unapigia sana kelele suala la call app na message app, hivi vitu hata sionagi umuhimu wake kwenye UI, ni mambo madogo sana ambayo hayana effects kwenye matumizi yoyote yale ya kila siku. Google ndio amelazimisha Xiaomi atumie Google caller na message app kwenye simu za Xiaomi za Global version na hata sioni shida hapo.

Ninapoongelea uzuri wa UI vitu visivyo na msingi kama calling na messaging apps hata siviweki akili I[emoji706][emoji706]
 
Samsung ndo simu bora kati ya nilizotumia toka nimeanza kutumia simu. Ila nimenunua vivo siipendi but ina feature ya kufungua account zaidi ya moja. So sina haja ya kufuta sms za mchepuko, nikifika tu home inajiingiza kwenye account ingine ambayo ina kila kitu chake anzia phone book inbox whatsap sijui nini kila kitu unainstall upya hivo sms zikiingi zinaingia account ile ingine
Hii nimeipenda ndugu, ni aina gani nyingine ya simu wana hayo maujanja ya kuwa na akaunti zaidi ya moja kwaajili ya sms, social networks n.k?
 
Hii nimeipenda ndugu, ni aina gani nyingine ya simu wana hayo maujanja ya kuwa na akaunti zaidi ya moja kwaajili ya sms, social networks n.k?
Simu za Xiaomi zina feature inaitwa "Dual Apps" inayokuwezesha kutengeneza copy ya app Fulani na kuzitumia zote mbili kwa kutumia account tofauti. Kwa mfano unaweza kuunda copy ya WhatsApp na ukazitumia zote mbili kwa account tofauti. Sio WhatsApp tu, ni application nyingi sana unaweza kuunda copy yake.

Uzuri zaidi hii feature inaweza kumake sense zaidi ukiitumia sambamba na feature ya "Second Space" ambayo nayo ipo kwenye simu za Xiaomi. Hii inakupa phone layout nyingine kabisa na kufanya iwe kama unatumia simu mbili tofauti ndani ya simu moja. Zile apps zako za siri unazificha Second Space na ili uingie Second Space itahitaji password yako, ukiingia Second Space unazikuta sasa apps zako zote ulizozihamishia huko.
Kwa hiyo unaweza kutengeneza copy ya Facebook halafu hiyo copy unaihamishia Second Space huku kwenye normal phone layout unaacha ile original app. Ndio hivyo, unazitumia kwa account mbili tofauti na hata haziingiliani, unyama sana[emoji91][emoji91]

Simu kama "Xiaomi Redmi Note 10" ina hizo features na bei yake ni around 450,000/= hivi hapa Tanzania, na simu zao nyingi zenye MIUI 12 kwenda juu zina hizo features
 
Simu za Xiaomi zina feature inaitwa "Dual Apps" inayokuwezesha kutengeneza copy ya app Fulani na kuzitumia zote mbili kwa kutumia account tofauti. Kwa mfano unaweza kuunda copy ya WhatsApp na ukazitumia zote mbili kwa account tofauti. Sio WhatsApp tu, ni application nyingi sana unaweza kuunda copy yake.

Uzuri zaidi hii feature inaweza kumake sense zaidi ukiitumia sambamba na feature ya "Second Space" ambayo nayo ipo kwenye simu za Xiaomi. Hii inakupa phone layout nyingine kabisa na kufanya iwe kama unatumia simu mbili tofauti ndani ya simu moja. Zile apps zako za siri unazificha Second Space na ili uingie Second Space itahitaji password yako, ukiingia Second Space unazikuta sasa apps zako zote ulizozihamishia huko.
Kwa hiyo unaweza kutengeneza copy ya Facebook halafu hiyo copy unaihamishia Second Space huku kwenye normal phone layout unaacha ile original app. Ndio hivyo, unazitumia kwa account mbili tofauti na hata haziingiliani, unyama sana[emoji91][emoji91]

Simu kama "Xiaomi Redmi Note 10" ina hizo features na bei yake ni around 450,000/= hivi hapa Tanzania, na simu zao nyingi zenye MIUI 12 kwenda juu zina hizo features
Vizuri, sasa utawezaje kuzuia sms ya mchepuko isionekane kwenye original app yako?
 
Vizuri, sasa utawezaje kuzuia sms ya mchepuko isionekane kwenye original app yako?
Kama SMS zako za faragha zinaingia kwenye original app maana yake hiyo original app ndio unapaswa kuificha kwenye second space na copy yake ndiyo unaiacha kwenye home screen.
Zile namba za mchepuko unatakiwa kuzisave kwenye account ya app ambayo umeificha Second Space, na namba za kawaida ndio uzitumie kwenye hii app ambayo ipo kwenye normal home screen.
Maana yake ni kwamba mchepuko akituma message, hizo message zitaingia Second Space na mke wako hatoweza kuziona, ni wewe tu unaweza kuzifungua kwa kutumia password yako uliyoiset special kwa ajili ya Second Space.

Ile account ambayo ina SMS salama zisizo za siri ndio unaitumia sasa kwenye normal home screen
 
Kama SMS zako za faragha zinaingia kwenye original app maana yake hiyo original app ndio unapaswa kuificha kwenye second space na copy yake ndiyo unaiacha kwenye home screen.
Zile namba za mchepuko unatakiwa kuzisave kwenye account ya app ambayo umeificha Second Space, na namba za kawaida ndio uzitumie kwenye hii app ambayo ipo kwenye normal home screen.
Maana yake ni kwamba mchepuko akituma message, hizo message zitaingia Second Space na mke wako hatoweza kuziona, ni wewe tu unaweza kuzifungua kwa kutumia password yako uliyoiset special kwa ajili ya Second Space.

Ile account ambayo ina SMS salama zisizo za siri ndio unaitumia sasa kwenye normal home screen
Samahani mkuu, mimi mbona internet kwenye secure folder haifanyi kazi, yani ukijaribu kuingia kwenye browser inagoma hata ku-create account WhatsApp au Twitter kwenye secure folder bado internet inakataa, nini tatizo ?
 
Samahani mkuu, mimi mbona internet kwenye secure folder haifanyi kazi, yani ukijaribu kuingia kwenye browser inagoma hata ku-create account WhatsApp au Twitter kwenye secure folder bado internet inakataa, nini tatizo ?
Secure folder, unamaanisha Second Space ya Xiaomi au ni simu ya kampuni gani unatumia
 
Hii ndio kampuni nataka kuhamia kwasasa niweke makao huko enyi wana Samsungians wenzangu watarajiwa naomba mnipokee na kunipa ushirikiano.

Simu ambayo nasave sasa kuja kuinunua ni Samsung Galaxy s23 Ultra. Hii chuma nitainunua kwa ikibidi hata kwa kukopa. Ni simu ambayo features zake zimenikuna sana mtima.

Na kwa waliotumia samsung galaxy s22 ultra wanielezea, then i believe hii itakuwa ni the best top kwa ile iliyotangulia sababu ya maboresho ya features.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom