Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wengi hata narafiki zangu wa karibu wanenipa mawazo kama haya yako . 🙏🙏🙏 Ngoja nione naishije na haya mawazo mkuuPole sana Mkuu, binafsi sina utaalamu huo ila kwa uzoefu kuna mambo mawili nayaona
Ngoja tusubiri wenye ujuzi wa hayo mambo waje wasaidie
- kwamba una uwezekano wa kuwa una jini mahaba ambalo halitaki uwe kwenye mahusiano na Mwanamke mwingine.
- Inawezekana kuna mtu ulimuwekea nadhiri hutaoa/ kuwa na mwanamke mwingine zaidi yake huyo uliyempenda hata akiondoka kwenye maisha yako. Sasa hiyo nadhiri ndiyo inakutesa.
🤣🤣🤣🙌Dooh!! ingefaa utumike kama silaha ya kuwapunguza au kuwaondoa madada poa kbsaa
Funguka kidogo.Hallo wataalamu,
Tafadhari rejea kichwa!
"Nini kinapelekea umauti kwa kila ninae fanya nae mapenzi !"
Mwanamke nikilala nae, hapitishi mwaka anakufa.
Wataalamu, humu kuna wazee wenye uzoefu na maisha na mambo mengi..
Kwenye case kama hizi kwa uzoefu wenu jambo kama hili mlitatua vipi , JF pana ina watu wa kila aina...
Hili jambo linanitaza sana.. ☹️☹️☹️
mwanamke wangu wa kwanza kabisa alikuwa msomalia ndio alinitoa bikra, tulitenga kwa mda ila sijui badae kukawa na nini, paka leo chui na paka na haishi TzDuh pole sana! Vipi ex wako mliachana vizuri? Maana hao ma ex wa kuogopa sana. Endelea kumuomba Mungu hiyo roho ikutoke kabisa. Sio roho nzuri Kwa hatma ya maisha Yako.
Nenda uvunje hizo nadhiri pamoja na kusomewa kisomo ili huyo jini mahaba kama kweli unaye basi wamuondoshe kwa dua.watu wengi hata narafiki zangu wa karibu wanenipa mawazo kama haya yako . 🙏🙏🙏 Ngoja nione naishije na haya mawazo mkuu
Ndio kama hivyo nilivyo elezea mkuuFunguka kidogo.
Wamekufa wangapi hadi sasa.
Je kuna mwana jf yupo uliyempa utamu tujianfae kisaikolojia?
😁😁😁 Ameamua kuleta taharukiBaba Mchungaji mbona unataka kuleta mtafaruku wa bure? Kuna watu immune system itashuka na watakufa kweli within a year.
Mimi nina hint: Mungu Anakutaka urudi kule Uhabeshi kwenye kiini ili ukajitafute na kuianza safari Aliyokuandalia. Tulishawahi kuligusia hili mimi na wewe!
Amina baba paroko. Tunamsaidiaje ndugu yetu National Anthem ? Hebu mpe vifunguInafikirisha Sana lakini National Anthem na mzabzab na Mzee wa kupambania Nyie ndo wakali wa hizi Kazi Sasa hamuoni huu ndo wakati wa kuutafta uzima wa milele na kujitakasa.
Ila wahapa hatujasikia labda mwaka haujafika kwa mujibu wa mtoa mada 🤪Hakuna wa JF aliyekufa? 🙊🙊🙊🙊🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ nimetoka usingizini Ankol 🌝
Wewe unataka kuleta taharuki, kuna mtu humu unataka afe kwa presha.Ndio kama hivyo nilivyo elezea mkuu
nilio pita nao jf naona ID zao hazitumiki sijui kabisa. Huenda wamebadilisha ID pia
hili jini mahaba, kuna pastor zamani sana alioteshwaga kwamba kuna miungu ya kike inanimiliki na inadai mie mtu wao, akabiombeaga pia ndoto zikakata maana kuna wakati nilikuwa naota kweli hadi nafanya mapenziNenda uvunje hizo nadhiri pamoja na kusomewa kisomo ili huyo jini mahaba kama kweli unaye basi wamuondoshe kwa dua.
Shangazi acha tu 😭Hakuna wa JF aliyekufa? 🙊🙊🙊🙊🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ nimetoka usingizini Ankol 🌝
🥲🥲 inauma sana, nimetoka kwenye mkutano nimejikuta nahukumiwa sana. Nikasema moyoni JF kisima cha maarifa..Wewe unataka kuleta taharuki, kuna mtu humu unataka afe kwa presha.
Amekuudhi nini?
Au unataka mtu aokoke bila kupenda?🤣🤣🤣
Ngoja tumsubiri mnajimu wetu mzabzab alete Mwongozo maana inafikirisha Sana mzee wa hizi kaziAmina baba paroko. Tunamsaidiaje ndugu yetu National Anthem ? Hebu mpe vifungu
Anataka kuchafua hali ya hewa, kuna watu watawrhuka huku haha.Baba Mchungaji mbona unataka kuleta mtafaruku wa bure? Kuna watu immune system itashuka na watakufa kweli within a year.
Mimi nina hint: Mungu Anakutaka urudi kule Uhabeshi kwenye kiini ili ukajitafute na kuianza safari Aliyokuandalia. Tulishawahi kuligusia hili mimi na wewe!