Nini kinapelekea umauti kwa kila ninayefanya nae mapenzi?

Nini kinapelekea umauti kwa kila ninayefanya nae mapenzi?

Status
Not open for further replies.
Una likango,

Watoto mtakao kua mnazaa wanakufa, au mimba kuharibika, na mama pia anaweza kufa.

Nenda kwa mtaalamu akachekii ukatwee, kuna lecture Udom ana mtoto m1 tyuuh, na kila mwanamke alokua anaoa anakufa, sahv yuko tyuuh bachelaa.

Inaumaa mnooo
Kweli 😭😭😭
Unaona twin wangu walienda 🥲🥲🥲
baada ya hapo mama yao alikaa ICU wiki nzimaa ..

Watu wengi wananiambia hiki mnachosema,
 
Shangazi acha tu 😭
Mzima lakini ?
Nime ku miss kweli...
Wa JF sioni ID zao zikiwa active .. huenda wamebadilisha ID
Mzima Ankol, nimekumiss pia. Unakumbuka siku ulisema, unatamani uonane namimi? Shida ukasema ukimpenda mtu lazima afe!!!
Kumbe ni kweli Ankol???
Dah hawa wa JF huenda walisharudisha namba😪😪😪
 
Mzima Ankol, nimekumiss pia. Unakumbuka siku ulisema, unatamani uonane namimi? Shida ukasema ukimpenda mtu lazima afe!!!
Kumbe ni kweli Ankol???
Dah hawa wa JF huenda walisharudisha namba😪😪😪
Shangazi.. kweli, ndio maana nikiwa nampenda mtu kikweli kweli, namkwepa kabisaa.. kwasababu najua kitachofatia 🥲🥲
 
hili jini mahaba, kuna pastor zamani sana alioteshwaga kwamba kuna miungu ya kike inanimiliki na inadai mie mtu wao, akabiombeaga pia ndoto zikakata maana kuna wakati nilikuwa naota kweli hadi nafanya mapenzi
Kama umeshajua tatizo inakuwa ni nusu ya kulitatua.

Hayo mambo ya jini mahaba tafuta shekhe akusomee dua litatoka hilo jini
 
Kweli [emoji24][emoji24][emoji24]
Unaona twin wangu walienda 🥲🥲🥲
baada ya hapo mama yao alikaa ICU wiki nzimaa ..

Watu wengi wananiambia hiki mnachosema,
Una likangoo, tena omba Mungu liwe halijakomaa, likiwa limekomaa umpate mtaalamu haswaa anaejua kukataa, akikata vibaya linasumbua na unakufa mwenyewee

Hadi nimeogopaa kwa kweliii, nakuhurumia mnoo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Una likangoo, tena omba Mungu liwe halijakomaa, likiwa limekomaa umpate mtaalamu haswaa anaejua kukataa, akikata vibaya linasumbua na unakufa mwenyewee

Hadi nimeogopaa kwa kweliii, nakuhurumia mnoo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bora nife mwenyewe aisee, kuua watu nimechoka 😭😭😭
 
Una likangoo, tena omba Mungu liwe halijakomaa, likiwa limekomaa umpate mtaalamu haswaa anaejua kukataa, akikata vibaya linasumbua na unakufa mwenyewee

Hadi nimeogopaa kwa kweliii, nakuhurumia mnoo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kumbe hii issue ni seriously nilikua nachukulia masihara aisee pole sana "national anthem"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom