Nini kinapelekea umauti kwa kila ninayefanya nae mapenzi?

Nini kinapelekea umauti kwa kila ninayefanya nae mapenzi?

Status
Not open for further replies.
Bora nife mwenyewe aisee, kuua watu nimechoka 😭😭😭
Unajua nini sio kwamba wewe unaua usijihukumu haufanyi hivyo kimakusudi

Hayo mambo ya Ibilisi tu anafanya michezo yake kupitia wewe ili atimize kusudi lake

Mimi ushauri wangu usitumie njia za waganga au za kishirikina. Fanya mpango upate msaada wa kiroho (Mungu) kumshinda huyu Ibilisi
 
Anataka kuchafua hali ya hewa, kuna watu watawrhuka huku haha.
Naomba wahusika wasiuone uxi huu udiku huu
Huko waliko sijui wana hali gani...j
Una likangoo, tena omba Mungu liwe halijakomaa, likiwa limekomaa umpate mtaalamu haswaa anaejua kukataa, akikata vibaya linasumbua na unakufa mwenyewee

Hadi nimeogopaa kwa kweliii, nakuhurumia mnoo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Likangoo ni nini mjukuu?
 
Bora nife mwenyewe aisee, kuua watu nimechoka [emoji24][emoji24][emoji24]
Yaan hadi nimepatwa na woga na hofu, nakuhurumia mnooo.

Huyo lecturer wa Udom, walikuta limekomaa na limepeaa kabisaa, mtaalamu akasema haiwezekani kukata, bas imebidi abaki nalo mwenyewe tyuuh, yuko bachelaaa.

Kapoteza wanawake 3, na watoto 5. Walichelewa kugundua, hata huyo m1 aliobaki ni alikua kwa bibi yake mzaa mama ndo alipewa dawa, na mama ake alifariki akiwa ana mzaa yeye.

Mtoto mkubwaa kamaliza chuo mwaka juzi.

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Km wakisema limekomaa angalia na mtaalamu, ukiona humuamini acha, bora ubaki nalo mwenywee tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
mwanamke wangu wa kwanza kabisa alikuwa msomalia ndio alinitoa bikra, tulitenga kwa mda ila sijui badae kukawa na nini, paka leo chui na paka na haishi Tz
Hilo la kuangalia sana maana ma ex wakiondoka na chuki wanapanda visasi. Sio watu wazuri kabisa. Omba sana Mungu akusaidie.
 
Yaan hadi nimepatwa na woga na hofu, nakuhurumia mnooo.

Huyo lecturer wa Udom, walikuta limekomaa na limepeaa kabisaa, mtaalamu akasema haiwezekani kukata, bas imebidi abaki nalo mwenyewe tyuuh, yuko bachelaaa.

Kapoteza wanawake 3, na watoto 5. Walichelewa kugundua, hata huyo m1 aliobaki ni alikua kwa bibi yake mzaa mama ndo alipewa dawa, na mama ake alifariki akiwa ana mzaa yeye.

Mtoto mkubwaa kamaliza chuo mwaka juzi.

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Km wakisema limekomaa angalia na mtaalamu, ukiona humuamini acha, bora ubaki nalo mwenywee tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kesho nasafiri , kuna mahala kuna wataalamu nitaenda kujaribu .. inachosha sana ankoli .. kuna kipindi furaha inapotea kabisaa. Na ni kweli hizi habari za watu kufa nimezisikia sana huwa yanau wake au wahusika wenyewe
 
Yaan hadi nimepatwa na woga na hofu, nakuhurumia mnooo.

Huyo lecturer wa Udom, walikuta limekomaa na limepeaa kabisaa, mtaalamu akasema haiwezekani kukata, bas imebidi abaki nalo mwenyewe tyuuh, yuko bachelaaa.

Kapoteza wanawake 3, na watoto 5. Walichelewa kugundua, hata huyo m1 aliobaki ni alikua kwa bibi yake mzaa mama ndo alipewa dawa, na mama ake alifariki akiwa ana mzaa yeye.

Mtoto mkubwaa kamaliza chuo mwaka juzi.

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Km wakisema limekomaa angalia na mtaalamu, ukiona humuamini acha, bora ubaki nalo mwenywee tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ndio li nini hilo "likango"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom