Futa huu uzi, uponyaji utaanzia hapa🥲🥲 inauma sana, nimetoka kwenye mkutano nimejikuta nahukumiwa sana. Nikasema moyoni JF kisima cha maarifa..
Naweza pata mawazo ya walio komaa na wana yajua maisha
Unajua nini sio kwamba wewe unaua usijihukumu haufanyi hivyo kimakusudiBora nife mwenyewe aisee, kuua watu nimechoka 😭😭😭
serious kaka! sasa hivi naeleke 38.. ila sina mtoto kila mimba zangu zimekuwa zinapotoe mkuu ,.. ndio hicho anasema coca hapoKumbe hii issue ni seriously nilikua nachukulia masihara aisee pole sana "national anthem"
jf wanafutaje uzi ? au nimuombe modFuta huu uzi, uponyaji utaanzia hapa
Sina neno lingine zaidi ya pole kamanda. Naamini yatapita kwa nguvu za Jahserious kaka! sasa hivi naeleke 38.. ila sina mtoto kila mimba zangu zimekuwa zinapotoe mkuu ,.. ndio hicho anasema coca hapo
Ninakuonya tena, usifanye mzaha huu, utaua watu kwa presha bure🤣🤣🤣🤣jf wanafutaje uzi ? au nimuombe mod
Huko waliko sijui wana hali gani...jAnataka kuchafua hali ya hewa, kuna watu watawrhuka huku haha.
Naomba wahusika wasiuone uxi huu udiku huu
Likangoo ni nini mjukuu?Una likangoo, tena omba Mungu liwe halijakomaa, likiwa limekomaa umpate mtaalamu haswaa anaejua kukataa, akikata vibaya linasumbua na unakufa mwenyewee
Hadi nimeogopaa kwa kweliii, nakuhurumia mnoo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaan hadi nimepatwa na woga na hofu, nakuhurumia mnooo.Bora nife mwenyewe aisee, kuua watu nimechoka [emoji24][emoji24][emoji24]
Hii mbinu ni ya kuzimu kabisa, ataua bureHuko waliko sijui wana hali gani...j
Likangoo ni nini mjukuu?
Ni serious kwa watu ipoo.Kumbe hii issue ni seriously nilikua nachukulia masihara aisee pole sana "national anthem"
Hilo la kuangalia sana maana ma ex wakiondoka na chuki wanapanda visasi. Sio watu wazuri kabisa. Omba sana Mungu akusaidie.mwanamke wangu wa kwanza kabisa alikuwa msomalia ndio alinitoa bikra, tulitenga kwa mda ila sijui badae kukawa na nini, paka leo chui na paka na haishi Tz
Yaan hadi nimepatwa na woga na hofu, nakuhurumia mnooo.
Huyo lecturer wa Udom, walikuta limekomaa na limepeaa kabisaa, mtaalamu akasema haiwezekani kukata, bas imebidi abaki nalo mwenyewe tyuuh, yuko bachelaaa.
Kapoteza wanawake 3, na watoto 5. Walichelewa kugundua, hata huyo m1 aliobaki ni alikua kwa bibi yake mzaa mama ndo alipewa dawa, na mama ake alifariki akiwa ana mzaa yeye.
Mtoto mkubwaa kamaliza chuo mwaka juzi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Km wakisema limekomaa angalia na mtaalamu, ukiona humuamini acha, bora ubaki nalo mwenywee tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ndio li nini hilo "likango"Yaan hadi nimepatwa na woga na hofu, nakuhurumia mnooo.
Huyo lecturer wa Udom, walikuta limekomaa na limepeaa kabisaa, mtaalamu akasema haiwezekani kukata, bas imebidi abaki nalo mwenyewe tyuuh, yuko bachelaaa.
Kapoteza wanawake 3, na watoto 5. Walichelewa kugundua, hata huyo m1 aliobaki ni alikua kwa bibi yake mzaa mama ndo alipewa dawa, na mama ake alifariki akiwa ana mzaa yeye.
Mtoto mkubwaa kamaliza chuo mwaka juzi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Km wakisema limekomaa angalia na mtaalamu, ukiona humuamini acha, bora ubaki nalo mwenywee tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]