Nini kinasababisha hedhi kutoka kidogo Sana?

Nini kinasababisha hedhi kutoka kidogo Sana?

Nenda kawaone madaktar bingwa wa wanawake
 
Inaonekana kuna dozi au dawa ulitumia ikavuruga homoni au ulikuwa na msongo wa mawazo sana kupelekea hiyo hali
Punguza kuwa na mawazo
 
Inaonekana kuna dozi au dawa ulitumia ikavuruga homoni au ulikuwa na msongo wa mawazo sana kupelekea hiyo hali
Punguza kuwa na mawazo
Niko na hii hali mwaka sasa..
mawazo nnayo ndio
nahisi hata Mimi kuna dawa imevuruga homoni.
Ila sijui cha kufanya...
uwezo wakupima ma homoni balance sina name bima sins.,[emoji22]
 
Niko na hii hali mwaka sasa..
mawazo nnayo ndio
nahisi hata Mimi kuna dawa imevuruga homoni.
Ila sijui cha kufanya...
uwezo wakupima ma homoni balance sina name bima sins.,[emoji22]
Pole sana...Nikudhamini bibie? maana afya ya uzazi ni muhimu sana
Ulishatumia vidonge vya emergence contracepitive?
 
Au njia ni nyembamba zinatoka kwa shida
 
Pole sana...Nikudhamini bibie? maana afya ya uzazi ni muhimu sana
Ulishatumia vidonge vya emergence contracepitive?
nitashukuru ukinidhamini
nimewahi kutumia mwaka juzi nadhani ni p²
2014 nahisi nilivotumia tu nikakaa siku2,nikableed
zikaenda vizuri miezi mi3 badala ya hapo ndo had I leo hali ndo Kama hii
 
inatoka kwa kiasi kidogo, mfano; Kama nitakaa na pedi kutwa nzima ya masaa12 haijai.
inatoka kidogo kidogo Sana
halafu tumbo linauma Sana pia.
na linaweza anza kuuma hats siku10 kabla ya period
in zinakujaga wakati mwingine baada ya siku40-50
Mpendwa ninamfaham mtu aliwah kuwa na tatizo kma lako na akatibiwa kwa sasa yupo powa kabisa.Ikiwezekana nitakuunganisha nae
 
inatoka kwa kiasi kidogo, mfano; Kama nitakaa na pedi kutwa nzima ya masaa12 haijai.
inatoka kidogo kidogo Sana
halafu tumbo linauma Sana pia.
na linaweza anza kuuma hats siku10 kabla ya period
in zinakujaga wakati mwingine baada ya siku40-50
Kwa maelezo yako nakushauri uende ukamwone gynaecologists mapema iwezekanavyo
 
Back
Top Bottom