Nini kinasababisha hedhi kutoka kidogo Sana?

Nini kinasababisha hedhi kutoka kidogo Sana?

Nenda muhimbili ukamuona dr wa magonjwa ya wakina mama nadhani pale gharama hazifiki hsptl binafsi

Au nenda sinza mico hsptl ni maalum kwny mambo ya kina mama na uzazi
 
Nenda muhimbili ukamuona dr wa magonjwa ya wakina mama nadhani pale gharama hazifiki hsptl binafsi

Au nenda sinza mico hsptl ni maalum kwny mambo ya kina mama na uzazi
sawa nitajitahidi
 
1. Kama umeweka loop ya kuzuia mimba.

2. Kama ndiyo umetoka kutoa mimba siku siyo nyingi.
 
√√Labda unaupungufu wa damu ndo mana damu zinatoka chache

√√ kula mboga za majni zitasaidia kuongeza damu na utaingia mwezini bila wasiwasi atiii
 
Pole.. Siyo issue lakini. Inaweza kuwa...

1. mwili wako unapitia mabadiliko fulani ya ki hormone.
2. Unatabia ya kujisafisha kwa kujiingiza vitu ukeenii..
3. Aina ya vyakula unavyopend kula.
4. Una stress, unafanya kazi nyingi kwa muda mrefu bila kujihurumia
5. Una mimba.
 
Pole.. Siyo issue lakini. Inaweza kuwa...

1. mwili wako unapitia mabadiliko fulani ya ki hormone.
2. Unatabia ya kujisafisha kwa kujiingiza vitu ukeenii..
3. Aina ya vyakula unavyopend kula.
4. Una stress, unafanya kazi nyingi kwa muda mrefu bila kujihurumia
5. Una mimba.
nna stress
sina mimba
sijisafishi zaidi ya kunawa maji
uke umekua mkavu
sifanyi kazi sana
 
√√Labda unaupungufu wa damu ndo mana damu zinatoka chache

√√ kula mboga za majni zitasaidia kuongeza damu na utaingia mwezini bila wasiwasi atiii
sidhani.
mbona nakula mboga za majani
 
That's hormanal imbalance, check for medical assistance,! its very cmple Rx
 
Nenda kwa dr bingwa wa maswala ya wanawake. Kuna vitu vingi vinavyosababisha kuwa na tatizo kama hilo.
Dr atakuuliza historia yako na wazazi wako then atafanya vipimo ambavyo atagundua ni nini.
Ila mawazo yangu kidogo nafikiri mayai hayapevushwi vizuri na pia kuta za kizazi ni nene kuliko kawaida.

Sent from my HS-U971 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom