princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
- Thread starter
-
- #61
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]itabidi nijichange niende.Nenda kwa dr bingwa wa maswala ya wanawake. Kuna vitu vingi vinavyosababisha kuwa na tatizo kama hilo.
Dr atakuuliza historia yako na wazazi wako then atafanya vipimo ambavyo atagundua ni nini.
Ila mawazo yangu kidogo nafikiri mayai hayapevushwi vizuri na pia kuta za kizazi ni nene kuliko kawaida.
Sent from my HS-U971 using JamiiForums mobile app
nna stress
sina mimba
sijisafishi zaidi ya kunawa maji
uke umekua mkavu
sifanyi kazi sana
nitajitahidi kupunguzaPunguza stress... Stress husababisha inbalance ya vitu vingi sana mwilini...
picha ya niniWeka picha
Nenda kapime Hormone imbalance zipo sawa? ukipima na kuonekana upo sawa basi utakuw auna pepo mchafu ndio anye haribu siku zaklo za hedhi na kukutia ugonjw awa wasiwasi na kukuotesha ndotombaya unapo lala usiku. Nenda kapiem kisha uje unipe Feedback mimi Herbalist Dr.MziziMkavu.Habari zenu.
nauliza; hivi nini kinasababisha hedhi kutoka kidogo Sana.......?
Tiba take nini ........?
madhara yake ni nini.....?
nitafanya hivoNenda kapime Hormone imbalance zipo sawa? ukipima na kuonekana upo sawa basi utakuw auna pepo mchafu ndio anye haribu siku zaklo za hedhi na kukutia ugonjw awa wasiwasi na kukuotesha ndotombaya unapo lala usiku. Nenda kapiem kisha uje unipe Feedback mimi Herbalist Dr.MziziMkavu.