Aliwaza/alifikiria........ hakujaribuIV Kwa nini hajakamatwa Kwa kesi ya kujaribu kujiua?......akahifadhiwe sege dansi miez mitatu kuepusha mabalaaah!!!
Na steve nyerere apate kuwa chairman wa rambirambiAkifa ni sawa tu na yeye si binadamu. Ajiue tukale mchele.
ana utajiri wa dola millioni 3.7, may be kuna tatizo jingine tuendeelee kujadili tutajua tyu chanzoo ne nn.......Aisee! Kiki za kishamba hizi...au ndo kufulia
kaka hao c wapuuz Bali hulka yao UBABENan alikwambia ukaoe kwa hao wapuuz
Ubabe ndo upuuz wenyewe huo. Wenye akil washagaweka pemben ubabe lakin wapuuz ndo bado wanaendelea kujifanya ni wababekaka hao c wapuuz Bali hulka yao UBABE
Ukioa hao ni sawa unaishi na kobokoUbabe ndo upuuz wenyewe huo. Wenye akil washagaweka pemben ubabe lakin wapuuz ndo bado wanaendelea kujifanya ni wababe
HahaaaTatizo amefanana sana na baba yake,kumvumilia kuwa nae inahitaji moyo wa chuma aisee!
[emoji16] [emoji16] [emoji16] ,Seymour Mungu anakuona
Pambana na hali yako ya Lady JD ni yake,badala ya kutafuta pesa unataka tupoteza muda na bundle zetu kujadili mambo binafsi,wewe nani kakujadili?badala ya kujadili mfuate ukamuulize au mkajadiliane yeye binafsi ndie anajua sababu huku kututaka tujadili mambo tusiyoyajua ni kuleta umbeya na hata unaweza kushtakiwa kule TCRAWakuu,
Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.
Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.
Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.
Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.
Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.
Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .
Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.
Hili jambo si dogo...
Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?
Nawasilisha
Check out @JideJaydee’s Tweet: