Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

Nini kinasababisha Lady Jaydee atake kujiua?

ila ule ukweli kwamba sisi binadaamu tunajiaminisha kuwa ukiwa na pesa matatizo yako yote yatakuwa yamekwisha na kuwa na furaha,amani kila wakati lkn ni uongo dada etu apo anamahela kama yote lkn bado anataka kujiuwa.iman ndo imemsaidia mpk xx yuko hai na kachana na hiyo mambo ya kujiua, tutengeneze amani na furaha katika familia zetu hata kama huna pesa utaishi vizuri sana.
 
Wakuu,

Kama mjuavyo Lady Jay dee ni msanii mkongwe hapa nchini Tanzania.

Na amekuwa akifanya vizuri katika muziki huu wa Bongo.

Katika vitu nilivyojifunza kwa mwanadada huyu mkongwe wa muziki ni pamoja na kuumizwa na mapenzi.

Maana mara nyingi amekuwa akiimba nyimbo za mapenzi zenye ujumbe wa kuachwa.

Pia tulishuhudia alipoachana na mumewe aliyumba sana.

Sasa wakuu tuje kwenye mada nimeona huyu msanii Jay dee kapost kuwa alitaka kujiua .

Kama mjuavyo watu wengi wamekuwa wakijiua tu na pengine wangesaidiwa wasingejiua.

Hili jambo si dogo...

Tujadili; nini chanzo cha mwanadada huyu kutaka kujiua?

Nawasilisha






Check out @JideJaydee’s Tweet:

Pambana na hali yako ya Lady JD ni yake,badala ya kutafuta pesa unataka tupoteza muda na bundle zetu kujadili mambo binafsi,wewe nani kakujadili?badala ya kujadili mfuate ukamuulize au mkajadiliane yeye binafsi ndie anajua sababu huku kututaka tujadili mambo tusiyoyajua ni kuleta umbeya na hata unaweza kushtakiwa kule TCRA
 
Back
Top Bottom