Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo zina mletea hormone imbalnce, ambayo inaweza shusha sexual desireAkiwa anatumia hiyo uzazi wa mpango inakuwaje?
Au anatumia uzazi wa mpangoWadada wa jf
Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife
Na wamezaa watoto 2
Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa
Dogo anasema akimshika tu inakuwa ni ugomvi hataki, anasingizia hana hamu, ana homonyms balance, but dogo anaamini ni visingizio tu hayo mambo sio kweli
Swali langu sasa kwa wadada wenye uzoefu wa hizi code je shida hapo kwa shemeji yangu inaweza kuwa ni nini?
Ni kweli anaumwa au hana feelings na dogo au anacheat au all of above haha
Wewe mambo ya shemeji yako na mme wake umeyajuwaje. Hii tu ya kutowa siri za ndani ni sababu moja wapo ya kuondowa ham ya mapenzi.No hapana, hawana ugomvi wowote wako poa 💯
ya ndoa waachie wanandoa wenyeweWadada wa jf
Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife
Na wamezaa watoto 2
Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa
Dogo anasema akimshika tu inakuwa ni ugomvi hataki, anasingizia hana hamu, ana homonyms balance, but dogo anaamini ni visingizio tu hayo mambo sio kweli
Swali langu sasa kwa wadada wenye uzoefu wa hizi code je shida hapo kwa shemeji yangu inaweza kuwa ni nini?
Ni kweli anaumwa au hana feelings na dogo au anacheat au all of above haha
dogo asifikiri ndoa ni kugegeda tu kila wakati, namshauri aache kumshika kabisaa hata usiku ajifunike tu shuka lake ageukie ukutani ila aendelee kulalanaye kitanda kimoja,aache kabisa kujionyesha anamtaka wakati huo dogo aendelee kutoa mahitaji ya msingi nyumbani, "ndoa inataka akili kubwa na uvumilivu" itafika mda mwanamke atajinyoosha tu mwenyewe mbona atalala bila nguo na kukupapasa, hiyo cku sasa umkunje haswa tena bila kumwambia I love you we ni kumtandika tu kimyakimyaWadada wa jf
Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife
Na wamezaa watoto 2
Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa
Dogo anasema akimshika tu inakuwa ni ugomvi hataki, anasingizia hana hamu, ana homonyms balance, but dogo anaamini ni visingizio tu hayo mambo sio kweli
Swali langu sasa kwa wadada wenye uzoefu wa hizi code je shida hapo kwa shemeji yangu inaweza kuwa ni nini?
Ni kweli anaumwa au hana feelings na dogo au anacheat au all of above haha
dogo asifikiri ndoa ni kugegeda tu kila wakati, namshauri aache kumshika kabisaa hata usiku ajifunike tu shuka lake ageukie ukutani ila aendelee kulalanaye kitanda kimoja,aache kabisa kujionyesha anamtaka wakati huo dogo aendelee kutoa mahitaji ya msingi nyumbani, "ndoa inataka akili kubwa na uvumilivu" itafika mda mwanamke atajinyoosha tu mwenyewe mbona atalala bila nguo na kukupapasa, hiyo cku sasa umkunje haswa tena bila kumwambia I love you we ni kumtandika tu kimyakimya
Usikute ww ndo unampigia mdogo wako hahahhahahWadada wa jf
Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife
Na wamezaa watoto 2
Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa
Dogo anasema akimshika tu inakuwa ni ugomvi hataki, anasingizia hana hamu, ana homonyms balance, but dogo anaamini ni visingizio tu hayo mambo sio kweli
Swali langu sasa kwa wadada wenye uzoefu wa hizi code je shida hapo kwa shemeji yangu inaweza kuwa ni nini?
Ni kweli anaumwa au hana feelings na dogo au anacheat au all of above haha
Ndyo sababu hiyoNimeuliza hii kitu anasema after kuzaa aliweka kijiti