Nini kinasababisha wanawake kupoteza hamu ya mapenzi na wanaume zao?

Nini kinasababisha wanawake kupoteza hamu ya mapenzi na wanaume zao?

Anachepuka huyo!!kuna jamaa anamsugua vizuri so ameamua kuleta visingizio uchwara!

Wanaume huwa hatuwezi mambo mengine zaidi ya kuwa anachepuka ?
 
Kichwa cha habari kingekuwa nini kimesababisha shemeji yangu kupoteza hamu ya mapenzi na mdogo wangu.Kichwa chako cha habari kinaakisi umefanya research kwa watu wengi kitu ambacho hakijafanyikq

Kichwa cha habari kimeandikwa na Admin wa jf, nilichoandika Mimi walifuta
 
Hakuna cha hormone wala siujui hisia zimeshuka, dogo anachapiwa
Huwa zisikubali hizi fikra kuwa kila mwanamke asipotoa unyumba basi muhusika anachapiwa ni zilipendwa sio kila mwanamke ana umalaya wa kutoa tu uchi nje, sababu zipo nyingi wadau wengi wameongea hapo likiwemo la hormones imbalance sometimes mwanamke anapojifungua zile hormones za kupenda tendo hupungua.
 
Wanawake siyo sex toys! Kama kila wakati tunawaona ni vyombo vya kutimiza tamaa zetu za ngono tunapojisikia,kuna wakati wanachoka.
Anyway hata hivyo kama sikosei mwanamke anapoteza taratibu hamu ya ngono akishazaa!
Ni kweli, watu waanze kuwaza tofauti
 
dogo wako anakosea kutoa siri zao kwako,vipi kwa mfano wakitakana kinyume cha maumbile,ndio waje kwako kusema?
Kila mtu ana mtu wa kuomba ushauri pale anapofikia ukomo wa kujishauri.......

Kama wewe ishu zako zote unasolve mwenyewe hongera na jitahidi kuheshimu wanaotafuta ushauri kwa wengine
 
Ukiacha hayo mengine. Mwambie huyo dogo na mkewe, hakuna kitu kinachoitwa hormonal imbalance. It's a bunch of bullshit. Na kama akianza kutumia drugs basi wajiandae kuwa na watoto mafala na wasagaji wasiojua jinsia zao.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Ukiacha hayo mengine. Mwambie huyo dogo na mkewe, hakuna kitu kinachoitwa hormonal imbalance. It's a bunch of bullshit. Na kama akianza kutumia drugs basi wajiandae kuwa na watoto mafala na wasagaji wasiojua jinsia zao.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
When ignorance meets confidence mixed with dumb ego it becomes very dangerous

Ungekua mwanamke we could have altered your hormones upate the feeling

A moment of silence to women you are sleeping with and daughters (if you have any)
 
Wadada wa jf


Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife

Na wamezaa watoto 2

Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa

Dogo anasema akimshika tu inakuwa ni ugomvi hataki, anasingizia hana hamu, ana homonyms balance, but dogo anaamini ni visingizio tu hayo mambo sio kweli

Swali langu sasa kwa wadada wenye uzoefu wa hizi code je shida hapo kwa shemeji yangu inaweza kuwa ni nini?

Ni kweli anaumwa au hana feelings na dogo au anacheat au all of above haha
Huyo mwanamke lazima atakuwa mchaga
 
Back
Top Bottom