Kama hawana ugomvi...
1. Acheki kama anatumia uzazi wa mpango wowote, hizi njia zinaharibu sana mustakabali wa afya ya uzazi mwanamke na kama hajajielemisha madhara inakua ngumu zaidi
2. Hormone imbalance inatibika, ashiriki katika tiba ya huyo binti na atapata ukweli kama anaigiza au la
Hatua ya kwanza ya ushiriki aende nae hospitali na daktari amchague dogo
1. Acheki kama anatumia uzazi wa mpango wowote, hizi njia zinaharibu sana mustakabali wa afya ya uzazi mwanamke na kama hajajielemisha madhara inakua ngumu zaidi
2. Hormone imbalance inatibika, ashiriki katika tiba ya huyo binti na atapata ukweli kama anaigiza au la
Hatua ya kwanza ya ushiriki aende nae hospitali na daktari amchague dogo