Anachoka mwaka mzima? Tuwe serious, na good enough kama ni kuchoka utaona response yake unapotaka kuomba gemu lkn ukiskia, usinisumbue nimechoka [emoji16][emoji16]Wanawake siyo sex toys! Kama kila wakati tunawaona ni vyombo vya kutimiza tamaa zetu za ngono tunapojisikia,kuna wakati wanachoka.
Anyway hata hivyo kama sikosei mwanamke anapoteza taratibu hamu ya ngono akishazaa!
Hii ndo sababu,Nimeuliza hii kitu anasema after kuzaa aliweka kijiti
Hii ndo sababu,
Hapo akitoe tu then kwa pamoja watumie condom mpaka mzunguko ukae sawa na calender ieleweke....
Ikishakaa sawa wachague condom danger days, dry baada
App za kwenye simu ni nyingi, unasajili kwa email data zako zinaendelea kuwepo hata ukibadilisha simu, plus kuna option ya mwenza wako kuwa anaona data so mnashirikiana kutrack (binafsi tunatumia "flo" na kiukweli tuko makini sana
Mfano kwa sisi day 1 ya period mpaka day 20 ni mwendo wa condom then day 21 mpaka mzunguko unaofata ni dry tu bila shida (kumbuka mbegu inaweza kukaa up to 5 days kabla ya kuwa useless, better safe than sorry)
Changamoto ni kutumia condom, mkishaishi muda mrefu huku mkitumia dry, transition to condom kidogo inasumbua (especially kwa mwanamke sababu condom inakausha papuchi sio kama nyama kwa nyama) na inahitaji nia ya hali ya juu sana. Over time mindset ikikaa sawa maisha yanaendelea
Yeah,mbaya zaidi huwa hawaambiwi side effects zake .....Kama hawana ugomvi...
1. Acheki kama anatumia uzazi wa mpango wowote, hizi njia zinaharibu sana mustakabali wa afya ya uzazi mwanamke na kama hajajielemisha madhara inakua ngumu zaidi
2. Hormone imbalance inatibika, ashiriki katika tiba ya huyo binti na atapata ukweli kama anaigiza au la
Hatua ya kwanza ya ushiriki aende nae hospitali na daktari amchague dogo
Au tuwaludie wazee wa zamani kipindi haya mambo hayajawepo walikua wanatumia nini ππHii ndo sababu,
Hapo akitoe tu then kwa pamoja watumie condom mpaka mzunguko ukae sawa na calender ieleweke....
Ikishakaa sawa wachague condom danger days, dry baada
App za kwenye simu ni nyingi, unasajili kwa email data zako zinaendelea kuwepo hata ukibadilisha simu, plus kuna option ya mwenza wako kuwa anaona data so mnashirikiana kutrack (binafsi tunatumia "flo" na kiukweli tuko makini sana
Mfano kwa sisi day 1 ya period mpaka day 20 ni mwendo wa condom then day 21 mpaka mzunguko unaofata ni dry tu bila shida (kumbuka mbegu inaweza kukaa up to 5 days kabla ya kuwa useless, better safe than sorry)
Changamoto ni kutumia condom, mkishaishi muda mrefu huku mkitumia dry, transition to condom kidogo inasumbua (especially kwa mwanamke sababu condom inakausha papuchi sio kama nyama kwa nyama) na inahitaji nia ya hali ya juu sana. Over time mindset ikikaa sawa maisha yanaendelea
π π€£ π π nimeongea kwa experience, unahitaji angalau miezi 6 ili kupata data vizuri, chini ya hapo naona kama ni too chaoticHa ha ha jamaa umeongea kitalaam sana
Wazee hawana lolote, wake zao walikua wanazaa mpaka menopauseAu tuwaludie wazee wa zamani kipindi haya mambo hayajawepo walikua wanatumia nini ππ
Nilielekezwa njia Moja ya asili ya kuzuia mimba, ila sijawah kuipractice, ila wao wanasema waliitumia,
Na wengine husema wanameza mbegu za mnyonyo and etc
Usijaribu...utalia kuliko hao asubuhi na jioni....π·π·π·Au tuwaludie wazee wa zamani kipindi haya mambo hayajawepo walikua wanatumia nini ππ
Nilielekezwa njia Moja ya asili ya kuzuia mimba, ila sijawah kuipractice, ila wao wanasema waliitumia,
Na wengine husema wanameza mbegu za mnyonyo and etc
Imagine taking advice from people who used to have at least a basketball team for kids π π€£ π π π π π€£ π€£Usijaribu...utalia kuliko hao asubuhi na jioni....π·π·π·
πππUsijaribu...utalia kuliko hao asubuhi na jioni....π·π·π·
πππππππImagine taking advice from people who used to have at least a basketball team for kids π π€£ π π π π π€£ π€£
dogo wako anakosea kutoa siri zao kwako,vipi kwa mfano wakitakana kinyume cha maumbile,ndio waje kwako kusema?Wadada wa jf
Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife
Na wamezaa watoto 2
Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa
Dogo anasema akimshika tu inakuwa ni ugomvi hataki, anasingizia hana hamu, ana homonyms balance, but dogo anaamini ni visingizio tu hayo mambo sio kweli
Swali langu sasa kwa wadada wenye uzoefu wa hizi code je shida hapo kwa shemeji yangu inaweza kuwa ni nini?
Ni kweli anaumwa au hana feelings na dogo au anacheat au all of above haha
Yeah ni kweli,njia Bora kuliko zote ni calendar tu ,mtu akiweza kutumia hii basi amefanikiwaWazee hawana lolote, wake zao walikua wanazaa mpaka menopause
Watu wanazaa watoto 10 na kuendelea huko.
Njia za asili nje ya calender ni ubatili mtupu, bora kunywa supplements hormone zikae sawa angalau mzunguko uwe predictable
Ukipata data za miezi 6 unatoboa vizuri tu, tabu ni wale ndugu zetu wenye changamoto kama vivimbe n.k