Nini kinasababisha wanawake wengi siku hizi hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume

Nini kinasababisha wanawake wengi siku hizi hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume

Peace be to you all,

Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.

Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.

Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.

siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.

Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.

Nini chanzo cha mabadiliko haya ?
Juzi Niko kwenye daladala,saa 11 asubuh,jamaa Mmoja,akiwa anashuka akamwambia sister Mmoja,"we dada SI ulisema unashuka tegeta?ndio hapa?"mdada akawa anasimama anachungulia chungulia nje,maana ni asubuh sana,jamaa aliposhuka,Sasa abilia wanamshangaa yule dada,baadae dada akasema,yule vipi mbona ananishobokea,anafikiri nimepotea,mie sijapotea,nacheka kama Kuna gari ya postal!
Yule dada mweupe,umbo la kike,lakini swaga zote na uhuni kama dume!!ilinikata stimu vibaya sana.
Siku hz hata wapo wanaume wanakuwa na swaga za kike!
Mtu ananenepa nyonga inakuwa kubwa,juu kidogo!akitembea a Arusha mikono kama shangingi!!!(simaanishi V8,kwa mliozaliwa juzi,namaanisha,shankupe,au lishangazi).
Kwa vijana wa kiume,fuga hata ndevu basi,harafu hata ushikaji wa cm usishike na kuperuzi cm kama demu!!
Huwa nawaona vijana kwenye daladala,Wana chart kama mademu!!
 
Peace be to you all,

Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.

Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.

Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.

siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.

Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.

Nini chanzo cha mabadiliko haya ?
Hahah
 
Kuna maeneo umeyasahau kuyagusia mkuu.

Kwenye mechi hawafumbi macho!
Unapiga huku kakukazia macho kukusanifu unavyohangaika kunyemelea "climax".

Na hivi kuna wanaume wanaoliaga wakimtaja mtume au Mungu kabisa (" ya alah"), kukakamaza sura, kujing'ata meno na kutoa udenda bila control, hapo ndipo ninapoona aibu mimi!

Mwanamke anatakiwa kufumba macho kukupa mwanaume falagha ya kiutendaji ufanye kwa ufanisi.

Ni aibu sana kwa kweli kukuta mwanamke akikukodolea macho kwa namna unavyofunga bao kihayawani.
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee wangu Sakasaka Mao![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutaki kabisa kukodoleana macho... ni mambo ya kimalaya kabisa siyo?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee wangu Sakasaka Mao![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutaki kabisa kukodoleana macho... ni mambo ya kimalaya kabisa siyo?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee kupiga bao huku umekaziwa macho inashusha hamasa!

Na wanaume tunavyogeukaga wabaya kitandani sasa!

Wanawake wanaona vitimbi sana isee!
 
Hapo kwenye vitambi mi naona ndio hali ni mbaya,maana hadi nikiviona inabidi nivunge kuangalia chini...
 
Kuna maeneo umeyasahau kuyagusia mkuu.

Kwenye mechi hawafumbi macho!
Unapiga huku kakukazia macho kukusanifu unavyohangaika kunyemelea "climax".

Na hivi kuna wanaume wanaoliaga wakimtaja mtume au Mungu kabisa (" ya alah"), kukakamaza sura, kujing'ata meno na kutoa udenda bila control, hapo ndipo ninapoona aibu mimi!

Mwanamke anatakiwa kufumba macho kukupa mwanaume falagha ya kiutendaji ufanye kwa ufanisi.

Ni aibu sana kwa kweli kukuta mwanamke akikukodolea macho kwa namna unavyofunga bao kihayawani.


[emoji1787][emoji1787]

We Jamaa!
 
Imekuwa shughuli pevu kupata mwanamke mwenye sura nzuri, umbo zuri na mwenye haiba ya kike siku hizi. Wengi ni polygon magumegume tu. Utakuja kijana handsome boyo kaoa mwanamke hana shepu ya kike sijui wanaishije ndani ya nyumba. Unakuta mwanamke kakodoa macho bila haya anamtamzama mume wake kwa macho makavu yasiyo na huba, ukute mambo ni ya hovyo hata kwenye majamboz
aisee
wapo sema hela
 
1. Vitambi hata kama hawajazaa .
2. vigimbi kama wacheza mpira
3. Kutembea haraha haraka kama wanawahi fumanizi.
4. Kupenda kuwa mbele mbele katika uongozi.
5. Makomwe marefu kwa kuweka pesa mbele.
6. Uchafu ,mtu mweusi bado anapaka lipstick nyekundu unaweza kusema alama ya "battery low"
No6 hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawali vizuri na wasiwasi wa Maisha na ukosefu wa utulivu wa Mwili roho na Matendo.

Umalaya na ngono za kila dakika saa then wakitoka hapo hawapati mlo kamili na kufanya mazoezi.

Nimejaribu kuangalia ngono nimeona inawamaliza sa. Wanawake kuliko wanaume unaweza fatilia Sehemu za kimboka ukafanya tafiti ngono bila kula vizuri ni hatari.
 
Unamakengeza
lukhozi_n-post-2023_05_04_17_37.jpg
 
Sababu ni kuwa sura mbovu kuzaa na sura mbovu hakuna kingne
 
1. Vitambi hata kama hawajazaa .
2. vigimbi kama wacheza mpira
3. Kutembea haraha haraka kama wanawahi fumanizi.
4. Kupenda kuwa mbele mbele katika uongozi.
5. Makomwe marefu kwa kuweka pesa mbele.
6. Uchafu ,mtu mweusi bado anapaka lipstick nyekundu unaweza kusema alama ya "battery low"
Dah nimecheka sana..na weusi wangu huu ebu niache kupaka red [emoji182] lipstick[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom