Nini kinaweza fanyika...???

Nini kinaweza fanyika...???

Don't worry. Tendo la ndoa halina uhusiano wa moja kwa moja na maziwa kulala au la.

Kwa nini mnasema halina?,endapo maziwa yangu yatakuwa saggy kiasi cha kunock off my confidence once nikiwa uchi,huoni kuwa uwezo wangu wa kuperform na baba watoto utashuka...au guys mnapretend yamesimama hata kama yamelala fofofo yanakoroma....lol
 
kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:

......Jitahidi kunyonyesha miezi sita ya mwanzo tu, hata hivyo yale maziwa ya miezi sita ya mwanzo ndio muhimu sana kwa mtoto.
Mie mwenyewe nina mpango wa kunyonyesha miezi sita tu.
 
Back
Top Bottom