Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
- Thread starter
- #81
Don't worry. Tendo la ndoa halina uhusiano wa moja kwa moja na maziwa kulala au la.
Kwa nini mnasema halina?,endapo maziwa yangu yatakuwa saggy kiasi cha kunock off my confidence once nikiwa uchi,huoni kuwa uwezo wangu wa kuperform na baba watoto utashuka...au guys mnapretend yamesimama hata kama yamelala fofofo yanakoroma....lol