Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SGR ni kwa ajili ya raia 3rd class wenye kipato duni na uzalendo mwingi sio mawaziri au PSMawaziri wa Tanganyika mjitafakari kama kweli mna uchungu na nchi hii mbona bado mnafuja Kodi za wananchi? Yaan Dar-Dodoma bado mnaendesha maV8 wakati SGR IPO?
Hakuna mawaziri wa TanganyikaMawaziri wa Tanganyika mjitafakari kama kweli mna uchungu na nchi hii mbona bado mnafuja Kodi za wananchi? Yaan Dar-Dodoma bado mnaendesha maV8 wakati SGR IPO?
Mawaziri wanaofanya kazi tanganyika 😀. Zanzibar inao mawaziri wake.Hakuna mawaziri wa Tanganyika
Kumbuka wanapita kwa % Tuseme kiongozi F alimzidi Kiongozi Q kwa kura 500 zaidi....Kama hawakubaliki wanamuongoza Nani?
Siku akifa ndo wanadai asiwekewe pamba puani maana ana shida ya kupumua?Kumbuka wanapita kwa % Tuseme kiongozi F alimzidi Kiongozi Q kwa kura 500 zaidi....
Sasa wale waliomchagua kiongozi Q lazima waendelee kutoridhishwa na kiongozi F mwisho chuki....
Kuhusu kuongozwa haijalishi ulimchagua kilngozi Q au la! kama amepita kiongozi F atatakiwa kukuongoza tu utake usitake...
Hivyo kiongozi F lazima awe makini kwa wale wasiomkubali maana chuki ni hisia mbaya sana....
DUUH! Sijakupata GentlemanSiku akifa ndo wanadai asiwekewe pamba puani maana ana shida ya kupumua?
Bifu mkuu -Mawaziri wa Tanganyika mjitafakari kama kweli mna uchungu na nchi hii mbona bado mnafuja Kodi za wananchi? Yaan Dar-Dodoma bado mnaendesha maV8 wakati SGR IPO?