Nini kingetokea kama Mwl. Nyerere angestaafu Urais mwaka 1971 na Oscar Kambona kuvaa viatu vyake hadi mwaka 1981?

Nini kingetokea kama Mwl. Nyerere angestaafu Urais mwaka 1971 na Oscar Kambona kuvaa viatu vyake hadi mwaka 1981?

Wadau wa JF habari zenu.

Leo nimewaza hivi ikiwa Mwl Nyerere angestastaafu Urais mwaka 1971 kwa kufuata mihula miwili na baadae kufuatiwa na Oscar Kambona ambaye naye angestastaafu mwaka 1981, nchi hii ingekuwaje? Mfano kiuchumi, kisiasa, kijamii, kitamaduni, kidiplomasia nk.

Natanguliza shukurani kwa maoni yenye tija ya kimtizamo ikizingatiwa ni jambo nadharia ambalo halikuwahi kutokea.

NB: Tuseme Nyerere hawakuhitilafiana na Kambona 1969 kisa ujamaa. Tuchukulie wangeendelea kuvumiliana hadi 1971 na kutokana na ushawishi wake Kambona akaachiwa mikoba.
Alternative history is long on speculations and short on facts.

Kitu kinachoweza kujadiliwa objectively kwa facts hapa ni hiki.

Tofauti kubwa za Nyerere na Kambona zilikuwa zipi?
 
Alternative history is long on speculations and short on facts.

Kitu kinachoweza kujadiliwa objectively kwa facts hapa ni hiki.

Tofauti kubwa za Nyerere na Kambona zilikuwa zipi?
Nyerere mjamaa, Kambona bepari
 
Back
Top Bottom