macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hata mihogo siyo mizuri ila mihogo hailiki sana kama chips. Mihogo inatumika pengine kwa chai tu na watu hawali mingi. Chips inatumika kama chakula halafu texture ya viazi inanyonya mafuta mengi.Kwani mihogo hainyonyi mafuta
Si chips tu, jihadhari na vyakula vya kukaangwa huwa na mafuta yaliyozidi kiwango, pilau nayo haina tofauti na chips kwani huwa na mafuta mengi.Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.
Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.
Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.
Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.
Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.
Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Mh kweli wali hauna faida mwilini kweli?Kwa hiyo,hili nalo lahitaji ufaham wa hali ya juu au elimu ya chuo kikuu?!
Au wanapoongelea madhara,unahisi nini! Kama kufa,kupo tu. Hakukwepeki.
Ua kuna mambo kadhaa ndo huongelewa:
- Maandalizi yake: kuna sehemu za kawaida sana,ambapo ukiangalia,kuanzia kumenywa,sahani,kachumbali, ni uchafu tu. Na walaji,waliozoea maisha ya shida,hawaoni taabu. Utajua kulingana na bei.
-Mafuta yanayopikiwa: chips kama chips, ndio kupikwa,hunyonya mafuta mengi. Ila,kama tatizo lingekuwa mafuta,wangekufa wengi. Kikubwa mtambue kwamba ikiwa hivo,basi hata walaji wa chapati,ni marehemu.
Kuna mafuta yanarudiwa,hadi rangi inabadilika. Wengine wanaenda mbali na kudai kwamba,kuna mafuta ya transfoma hutumiwa,na sifa kubwa ikiwa hayaishi haraka kama haya ya kawaida.
-La tatu na la mwisho, ni chakula hiki kina virutubisho gani kuujenga mwili!? Kimeongelea hiki tu,ila mfano mwingine ni wali. Unaambiwa hauna manufaa wala madhala mwilini. Ni kujaza tumbo tu.
Waulize wanachuo kati ya chips na mihogo nn wanakula sana?Hata mihogo siyo mizuri ila mihogo hailiki sana kama chips. Mihogo inatumika pengine kwa chai tu na watu hawali mingi. Chips inatumika kama chakula halafu texture ya viazi inanyonya mafuta mengi.
Du. Sikujua tena hili. Basi kama wanakula kwa wingi nalo siyo jambo zuri.Waulize wanachuo kati ya chips na mihogo nn wanakula sana?
Asante mkuu na vipi kuhusu samaki wa kukaangaSi chips tu, jihadhari na vyakula vya kukaangwa huwa na mafuta yaliyozidi kiwango, pilau nayo haina tofauti na chips kwani huwa na mafuta mengi.
Kwa nn mkuuMWANAUME WA Kweli Hali chipsii Bali hula mawe.....
Kaanga chips hakikisha mafuta yamejichuja vizuri.
Siku hizi kuna mashine za kuhoka chips bila mafuta.
Kama unawajuwa KFC nunuwa chips kwao ndio utajuwa chips zinatakiwa ziweje.
Mafuta ya viwandanai yana cholesterol nyingi,alafu viazi vina wanga mwingi unashauriwa na wataalam wa afya ule chipsi mara 1 au 2 kwa week na upike mwenyewe maana yale mafuta yao vijiweni ni sumuKwa hiyo hayo mafuta yakikaanga dagaa hamna shida, shida ni kukaanga chips tu?
Ndo swali langu kubwa
Kwan si wanatumia korie kama yanayotumika nyumban tu?Mafuta ya viwandanai yana cholesterol nyingi,alafu viazi vina wanga mwingi unashauriwa na wataalam wa afya ule chipsi mara 1 au 2 kwa week na upike mwenyewe maana yale mafuta yao vijiweni ni sumu
Naomba nisamalizie mkuu
Kumbe ndo tatizoChips, salad, tomato, mayonise.....+ Pepsi baridi.
Yanakuwa yamekaa sana wale wanafanya kuongeza juu tuKwan si wanatumia korie kama yanayotumika nyumban tu?
Asante bwana pastor kwa kuturejesha Eden 😂!Kwanza sio chakula cha kondeni. Hichi kiazi kimebuniwa tu. Pili kinakunywa mno mafuta. Tatu kwa kuwa sio chakula cha kondeni kwa mujibu wa bibilia. Hakina baraka
Ndo tanapata cholesterol auYanakuwa yamekaa sana wale wanafanya kuongeza juu tu
Vitabu vya dini vinasisitiza kufanya chochote kwa kiasi.Huwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.
Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.
Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.
Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.
Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.
Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni hapa
Dkt Janabi shughulikiaHuwa najiuliza mara nyingi sana kwa nini chips zinasemekana kuwa na madhara.
Chips ni viazi ulaya vilivyokaangwa kwenye mafuta ya kupika.
Lakini ukipika viazi hivyo kwenye mboga au chakula kingine kama wali/pilau hamna mtu atakuambia vina madhara.
Hayo mafuta yanayotumika kukaanga ukiyatumia kupikia au kukaanga chakula kingine hamna mtu anayasema hayo mafuta.
Lakini tatizo linakuja hayo mafuta yakikaanga viazi vilivyokatwa vipande (chips) ndo vinakuwa na madhara mara nguvu za kiume, mara mambo kibao.
Watu wenye uelewa na hili tafadhali nielewesheni
Dkt Janabi.