Nini kipo nyuma ya chips?

Si chips tu, jihadhari na vyakula vya kukaangwa huwa na mafuta yaliyozidi kiwango, pilau nayo haina tofauti na chips kwani huwa na mafuta mengi.
 
Mh kweli wali hauna faida mwilini kweli?
 
Hata mihogo siyo mizuri ila mihogo hailiki sana kama chips. Mihogo inatumika pengine kwa chai tu na watu hawali mingi. Chips inatumika kama chakula halafu texture ya viazi inanyonya mafuta mengi.
Waulize wanachuo kati ya chips na mihogo nn wanakula sana?
 
Kaanga chips hakikisha mafuta yamejichuja vizuri.

Siku hizi kuna mashine za kuhoka chips bila mafuta.

Kama unawajuwa KFC nunuwa chips kwao ndio utajuwa chips zinatakiwa ziweje.

Wee kwa hiyo za kfc hazina madhara? Basi Marekani tatizo la kuzidi uzito lisingekuwepo. Au kwa kuwa hapa mnazila chips za kfc kama mtoko na sio kama chakula cha kila siku na ndio sababu huoni madhara yake kwa uharaka?
 
Kwanza sio chakula cha kondeni. Hichi kiazi kimebuniwa tu. Pili kinakunywa mno mafuta. Tatu kwa kuwa sio chakula cha kondeni kwa mujibu wa bibilia. Hakina baraka
Asante bwana pastor kwa kuturejesha Eden 😂!

Yes hivyo viazi havijawahi kuwepo dunia sawa na wale kuku ambao ukimweka chini atakusubiri hadi uje umchukue.
 
Vitabu vya dini vinasisitiza kufanya chochote kwa kiasi.
Kula chips kwa kiasi.
Hata hivyo visvyotumia mafuta navyo kula kwa kiasi.

Mengine ni wivu tu.
 
Dkt Janabi shughulikia
Dkt Janabi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…