Nini Kipo Nyuma ya Lady Jay Dee na Salama Jabir?

Nini Kipo Nyuma ya Lady Jay Dee na Salama Jabir?

Watu wa vijijini mnajua uanaume ni ngono tu. Ni rahisi kwenu kua na akili hizo maana bajeti ya familia yako ya watoto nane kwa mwaka ni ndoo kubwa ya mahindi na kisado cha maharage.

Watoto hupeleki shule unasubiri kumzeesha kwa kumuozesha kwa kigagula chochote hapo kijijini.
Duh🏃🏃
 
Vijana wa kibongo wake/waume wa kibongo kukimbilia kuolewa, ndio ndoto kubwa kwao sababu ya kutokua na ndoto zao wanaanza kutimiza ndoto za watu wengine( wazazi, ndugu, marafiki).

Demu akifika 30 anaitwa mzee hawezi kuolewa, ana force kuolewa na mtu yoyote yule pasipo kujipanga mwisho, anajikuta kaingia sipo yanaanza majuto.

Kuzaa majaliwa na mipango ikae sawa sababu malezi sio kitu rahisi, uwezo wa kipato, mtu sahihi, muda sahihi, watu wamekimbilia kuzaa kulea kumewashinda, watoto wamejazana mtaani, wezi vibaka, wadangaji kibao, mama, baba na mtoto wote mnadanga.

Hizi ni mind set za kiafrica ambazo lazima tuachane nazo, mzazi usilazimishe mtoto aoe au aolewe mwache afanye kwa muda wake, kuzaa sio lazima timiza malengo yako ndoto zako kwanza, hili uzao wako usipitie majuto ya kuzaliwa na wewe uhakika wa elimu, afya..

Kila mtu afanye maisha kwa namna yake, ashinde mechi zake, usiiishi ndoto za mtu mwingine hata kama ni mzazi wako.

Hatuwezi wote tukafanya vitu vinavyonana tukapata matokeo tofauti.

Big up kwa salama na jay dee, mungu awajalie mkipata watoto kheri mkikosa kheri vilevile, hakuna kesi wala dhambi.
 
Dar hakuna wanaume wakitokea atapata bwana. Wanaume wa Dar wanakimbia panya road.
Tutake radhi...

We huoni serikali imeongeza majengo ya wazazi hospitali zote za wilaya na vituo vya afya?

Tutake radhi au la tunaingia kikaoni na kutoka na tamko[emoji1787][emoji1787]
 
Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??

Uzi tayari.
Jidee ana matatizo ya uzazi but salama sijui tatizo ila udumedume naona madume yanaona dume mwenzao ila ana matiti mazuri kinoma na hiyo ni silaha tosha sema hajui kuyatumia
 
Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??

Uzi tayari.
Nilibahatika kumuona Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwa kwenye Kampeni za uchaguzi huu uliopita, akisikitika sana baada ya kufika mahali (sipakumbuki ni wapi), ambapo Serikali imejenga kituo kipya cha afya, halafu akakuta hakuna watoto wanaofyatuliwa kwenye kituo hicho. Alisikitika sana kukuta hakuna watoto wanaozalishwa kwenye kituo hicho. JPM mwenyewe alkishatoa ruhusa ya kufyatua siku nyingi!
 
Waafrika tuna shida sana, siku moja nilikuwa DRC, nako wanatushangaa watanzania kuwa hatupendi kuzaa eti, tunawaiga wazungu!! Kule kwao kuwa na watoto watatu, bado hujazaa!!! Kuonekana kidume uanzie watoto nane!!!
Duh.
 
Back
Top Bottom