Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
40+ kote huko akivuka 16 bila mtoto ujue ana matatizoKwahiyo huko mikoani wanawake wote walio 40+ wana watoto?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
40+ kote huko akivuka 16 bila mtoto ujue ana matatizoKwahiyo huko mikoani wanawake wote walio 40+ wana watoto?!
Sasa si ukamuoe unasubiri niniila ka salama ni kazuri,na kana sauti fulani hivi
Hii ndio JF, kila kitu tunakipata hapa hapa[emoji1][emoji1][emoji1]Mbona wote nimesikia wanawatoto..jide mtoto mkubwa tu na salama nae na alizaa na juma kaseja enzi hizo anasoma makongo..[emoji41]
Mkuu uko Dsm kumbe!? Nataka kuja kufanya maisha huko, fursa zipo!?Tutake radhi...
We huoni serikali imeongeza majengo ya wazazi hospitali zote za wilaya na vituo vya afya?
Tutake radhi au la tunaingia kikaoni na kutoka na tamko[emoji1787][emoji1787]
Vipi jpm anatoa pesa ya matunzo pia!Nilibahatika kumuona Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwa kwenye Kampeni za uchaguzi huu uliopita, akisikitika sana baada ya kufika mahali (sipakumbuki ni wapi), ambapo Serikali imejenga kituo kipya cha afya, halafu akakuta hakuna watoto wanaofyatuliwa kwenye kituo hicho. Alisikitika sana kukuta hakuna watoto wanaozalishwa kwenye kituo hicho. JPM mwenyewe alkishatoa ruhusa ya kufyatua siku nyingi!
Basi awe na mke tujue moja.yee mwenyewe bwana sasa awe na bwana wa nini
Hilo la kuwa na matatizo siwezi kupinga ingawaje sio LAZIMA kwamba kila aliye 40+ na hana mtoto basi ana matatizo! Kuna uwezekano mkubwa kwamba Jay Dee ana matatizo kwa sababu amekaa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 8 lakini kuna wengine hawapo kwenye ndoa, na hawapo tayari kuwa na mtoto kupitia shows za mchangani!40+ kote huko akivuka 16 bila mtoto ujue ana matatizo
mkubwa unamwaga vichambo kama umepandisha jini 😂😂😂Huu uzi kuna wakulima wameacha majembe wamekimbilia hotspot ya diwani ili wateme nyongo.
mambo ya Nyoshi el SadatWaafrika tuna shida sana, siku moja nilikuwa DRC, nako wanatushangaa watanzania kuwa hatupendi kuzaa eti, tunawaiga wazungu!! Kule kwao kuwa na watoto watatu, bado hujazaa!!! Kuonekana kidume uanzie watoto nane!!!
Daaaah....Dar hakuna wanaume wakitokea atapata bwana. Wanaume wa Dar wanakimbia panya road.
Si busara kuquestion kilemama.Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
Salama anasagana atazaaje?Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
Hilo sasa sijui ila pia mimi niliona yuko sahihi kwa sababu kwenye kituo cha afya panatakiwa awepo angalau mtoto aliyezaliwa. Hili swala la watoto kukosekana kabisa nadhani siyo la kawaida. Vile vile mimi ninadhani kuwa msukumo mkubwa wa Serikali kusambaza vituo vingi vya afya unasababishwa na mojawapo ya sababu kubwa ya kupunguza mortality rate ya akina mama wajawazito pamoja na watoto wachanga. Kama uliwahi kumsikiliza Waziri wa Afya wakati wa kampeni, utagundua kuwa vituo vya afya vimesaidia sana kupunguza vifo vya mama na mtoto tangu awamu ya tano ilipoingia madarakani. Kwa hiyo Serikali wao wamejenga vituo vya afya vingi na bado wanaendelea kujenga, kwa sababu statistics zao zinawaonyesha kuwa kulikuwa na mismatch kubwa sana kati ya wahitaji wa vituo hivyo ambao wengi wao ni akina mama wajawazito. Hivyo basi, kwa kipindi hiki inapotokea Waziri Mkuu amefika sehemu na kukuta hakuna watoto wanazalishwa kwenye kituo cha afya alichojenga, ni lazima tu aulize maswali. Hata kama ungekuwa wewe lazima ungepata kitu fulani cha kujiuliza kichwaniVipi jpm anatoa pesa ya matunzo pia!
Baseless Allegations....Salama anasagana atazaaje?
🤣mambo ya Nyoshi el Sadat
Aamen!Jah awasaidie wapate watoto, naamini watatimiziwa hilo.