Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Tazama mlege wa Salama [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea na Halima Mdee, naona twajhitaji kula mihogo, nazi na karanga zaidi, kwa kweli kwa hili tumefeli, sijuwi wenzangu...Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
sijakuelewa hapaUnakuta mwanaume analea watoto wa kaka yake, au mdogo wake au wa baba yake mzazi. Mwenywe anajisifia anafanana sana na wanawe kumbe mwenyewe anafanana na mshua. Wanaume kwenye issue ya watoto wakubwa wanawasaidia sana kuitwa baba msijidai kumnamnanga lady jaydee[emoji849]
Dar hakuna wanaume wakitokea atapata bwana. Wanaume wa Dar wanakimbia panya road.
Mtongozeni Salama Jabiri basi.Bi mdogo inabidi utuombe samahani, sisi tukikamata hao Panya Road tunapiga moto kabisa, usitutanie.
Bwana wa mabwanayee mwenyewe bwana sasa awe na bwana wa nini
Mtongozeni Salama Jabiri basi.
Kweli kabisa.Tusiwabeze ila tuwaombee kwa Mungu awasaidie wanawake wote wanaotamani watoto wapate.
Kati ya vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wa binadamu ni hili
Ingekua sio hisani ya wanawake wakishirikiana na ndugu, jamaa, majirani na marafiki wanaume wengi pia wangepatwa na hiki kilio cha kukosa watoto.
Wakubwa tuu ndio watanielewa
Sasa si ukamuoe unasubiri nini
mambo ya Nyoshi el Sadat
Si bamutu ya Congo yule jamaa....Ana watoto kama nywele vile 😂😂😂nyoshi ni mmoja ya watu maarufu wachache hapa Bongo wasio na haters[emoji23] huwa namkubali sana na zile tambo zake
Oya mkongo angslia asije kukutafuna weweila ka salama ni kazuri,na kana sauti fulani hivi
Muogope Mungu haya mambo hayana sterling...kuna mmoja hapo ni Brender na Mwingine Mayai yake amekulia chips yote na amewai enda South Africa,France kupandikizwa mimba zote zinatoka[emoji24]
Kwa hiyo hana hisia za chapa ulale sio? 🤔Let me make it clear, she was born that way. There's nothing you can do.
Kwani wewe unafeli wapi?Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
Mzee baba watoto 8 bajeti debe 1 la mahindi kwa familia za kijijiñi?Watu wa vijijini mnajua uanaume ni ngono tu. Ni rahisi kwenu kua na akili hizo maana bajeti ya familia yako ya watoto nane kwa mwaka ni ndoo kubwa ya mahindi na kisado cha maharage.
Watoto hupeleki shule unasubiri kumzeesha kwa kumuozesha kwa kigagula chochote hapo kijijini.