Nini Kipo Nyuma ya Lady Jay Dee na Salama Jabir?

Nini Kipo Nyuma ya Lady Jay Dee na Salama Jabir?

Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??

Uzi tayari.
Huyo jd kaja dar kashazeeka halafu unasema wanaume wa dar, kwanini hamkumjaza hukohuko bush kwenu?
 
Watu wa vijijini mnajua uanaume ni ngono tu. Ni rahisi kwenu kua na akili hizo maana bajeti ya familia yako ya watoto nane kwa mwaka ni ndoo kubwa ya mahindi na kisado cha maharage.

Watoto hupeleki shule unasubiri kumzeesha kwa kumuozesha kwa kigagula chochote hapo kijijini.
Hahahaha 😂 😂
 
Huyo jd kaja dar kashazeeka halafu unasema wanaume wa dar, kwanini hamkumjaza hukohuko bush kwenu?
Jide kaja mdogo dar,shule ya msingi alimalizia hapa dar akafaulu zanaki then a level kasoma shaban robert
 
Huyu salaama si alikua anagegedwa na yele msanii ngosha wa mwanza na huyu binti machoz alikua kaolewa na captain labda hawana mayai tu
 
Back
Top Bottom