Dini zote ni upuuzi na utumwa, uongo uliopitiliza umejaa kwenye hivyo vitabu vyao! Mfano eti Mariam alikuwa bikra Hadi hapo alipoingiliwa na "Mungu", wakati by that time alikuwa ameshaolewa na Joseph, and walikuwa wameshadinyana sana tu, na walikuwa na watoto wakubwa before Yesu! Or eti wengine wanasema ukilifia jina la Mungu wao unaenda kupewa mabikra 72 akhera, so wao katika zawadi zootee mabikra 72 ndiyo wakaona zawadi kubwa, then vipi kuhusu wanawake wataolifia jina la huyo Mungu, wanapewa nini? Dini ni uongo ulioletwa kuwapumbaza wajinga ili waendelee kuwa mazoba