Smartkahn
JF-Expert Member
- Jun 22, 2020
- 594
- 1,061
=>Utandawazi na elimu: hivi vitu vimerahisisha upatikanaji wa maarifa, na binadamu waliopata neema ya kuyapata hayo maarifa wamepevuka kiupeo.Habari 👋🏾
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
Wanasemaga "njia ya muongo ni fupi"