Nini kipo nyuma ya ukuaji na ongezeko la watu wasiokuwa na dini?

Nini kipo nyuma ya ukuaji na ongezeko la watu wasiokuwa na dini?

Dah bro unajifariji.. wafuata dini wengi ni vilaza.. mnakimbilia miujiza mnafanyiwa mambo ya ajabu na mmefungwa akili na viongoz wenu. Mnahustle sana mazee
Kama unabisha jenga hoja kwangu kisha uone akili zangu na zako kama ziko sawa.

Pili,hakuna watu wajinga kuwazidi wakana Mungu yaani ukitaka kujua maana ya Ujinga waangalie wakana Mungu.

Tatu,suala la miujiza liko wazi hili lipo kwa watu wa dini fulani sisi Waislamu mambo hayo hatuna,kwahiyo kwa ujumla tunakuta Wajinga wengi wapo nje ya Dini kuliko walioko kwenye Dini. Ila kuhusu wenye akili kwa ujumla hakuna wakuwazidi watu wa Dini.
 
Mbinga Namba Moja ni wewe unayeamini Mungu yumo mule kwenye jengo.
Unajua mimi ni wa dini gani ? Mimi ni Muislamu,hilo jengo jengo gani ?

Mimi naamini Mola wangu aliyeumba mbingu na ardhi yuko mbingu ya saba amestawi juu ya Arshi yake katika kiti chake cha enzi.

Sasa jenga hoja kutokana na Imani yangu hiyo.
 
Huu ni mjadala mpana sanaaa. Unawahitaji viongozi wa dini toka ngazi za juu mpaka chini kujitafakari na kuweka mipango madhubuti.

Moja ya sababu kubwa mimi naiona ni dini kuhusishwa na suala la upigaji hela. Sijui vzr kuhusu dini ya kiislamu ila hii dini yangu ya kikiristo mhhh apana.

Madhehebu mengi yameanzishwa lengo siyo kuihubiri injiri na kulitangaza neno la Bwana kwa watu wa mataifa. Lengo limekuwa ni kujipatia mali kwa mgogo wa dini.
Mwisho. Naona siku zimeisha sasa maana hata waliokuwa wanamngojea Yesu wamechoka na hapo watabaki wenye imani zao nzuri ndio wakatao nyakuliwa na Bwana. Hizi ni ck za mwisho shetani nae yupo busy ili kupata namba kubwa.
 
Ilikuaje waarabu Mungu wao, Na wazungu Mungu wao, Kwani tangu hapo mwanzo ni Mungu yupi alikuwa anahubiriwa. Huyo Mungu wa mwanzo ndie. Hawa waliokuja baadae ni wapigaji tu.
 
Kijana acha ujinga,hakuna utofauti wa kanuni na utaratibu popote pale.

Imani inatofautisha kati ya kanuni na taratibu...?

Kusema kanuni za kumjua Mungu ni sawa na taratibu za kumjua Mungu hakuna tofauti hapo.
Kiimani unaposema kanuni ni zile ambazo Mungu mwenyewe amejiwekea za kutaka kumjua yeye na taratibu ni zile ambazo Mwanadamu amejiwekea kutaka kumjua Mungu.Ndipo tatizo la haya maneno mawili yanapomvuruga mwanadamu.
 
Kama unabisha jenga hoja kwangu kisha uone akili zangu na zako kama ziko sawa.

Pili,hakuna watu wajinga kuwazidi wakana Mungu yaani ukitaka kujua maana ya Ujinga waangalie wakana Mungu.

Tatu,suala la miujiza liko wazi hili lipo kwa watu wa dini fulani sisi Waislamu mambo hayo hatuna,kwahiyo kwa ujumla tunakuta Wajinga wengi wapo nje ya Dini kuliko walioko kwenye Dini. Ila kuhusu wenye akili kwa ujumla hakuna wakuwazidi watu wa Dini.
Ndani ya Surat Al Baqala aya ya 6 - "Hakika walio kufuru ni sawa juu yao uwaonye au usiwaonye kamwe hawato amini"
 
Kiimani unaposema kanuni ni zile ambazo Mungu mwenyewe amejiwekea za kutaka kumjua yeye na taratibu ni zile ambazo Mwanadamu amejiwekea kutaka kumjua Mungu.Ndipo tatizo la haya maneno mawili yanapomvuruga mwanadamu.
Haya unayasema wewe ila hakuna kwenye kitabu chochote kinacho tofautisha maneno haya,hata wanadamu wana kanuni na taratibu zao. Jifunzeni maana na matumizi sahihi ya maneno.
 
Neno Mungu limekuja na biblia. Kabla ya biblia hatukuwa na miungu bali mizimu. Kulikuwa na mizimu ya kuponya magonjwa,kuleta mvua penye uhitaji,kuleta neema wakati wa shida,kuleta uzazi kwa wenye shida. Kila kitu kiliwezekana kupitia mizimu.
Wazungu wakarekebisha jina la mizimu na kuliweka jina la mungu ila majukumu yakawa yale yale ya mizimu.
Hiyo hiyo mizimi ndio Mila zetu na ilikuwa inasaidia
 
Unajua mimi ni wa dini gani ? Mimi ni Muislamu,hilo jengo jengo gani ?

Mimi naamini Mola wangu aliyeumba mbingu na ardhi yuko mbingu ya saba amestawi juu ya Arshi yake katika kiti chake cha enzi.

Sasa jenga hoja kutokana na Imani yangu hiyo.
Ndani ya Surat Al Baqala aya ya 6 - "Hakika walio kufuru ni sawa juu yao uwaonye au usiwaonye kamwe hawato amini"
Umefanya Jambo jema kuiweka wazi Imani yako pamoja na Yusco dagama.Hakika hatutaelewana.Naishia hapa.
 
Umefanya Jambo jema kuiweka wazi Imani yako pamoja na Yusco dagama.Hakika hatutaelewana.Naishia hapa.
[emoji16][emoji16][emoji16] yote kwa yote tufanye yaliyo mema maisha ya dunia ni mafupi sana [emoji120]
 
Huyo mungu unayemwamini huwa unafanya ibada ya kumuomba?

kama ndio basi hapo unapomuomba ndo kanisani kwako hata kama ni chumbani.

Wewe ni muumini na tendo la maombi ni la kidini, kiimani na ibada.

Jina la dini yako linaweza kuwa lolote hata ngariba church ni sawa tu, utakavyopenda wewe.
Mkuu nafikiri unachanganya kati ya Atheism na Paganism. Mtu asiyeamini katika Mungu wala Dini ni Atheist na mtu asiyeamini katika Dini ila anaamini katika Mungu na Asili ni Pagan.

Mpagani yeye anaamini Mungu yupo ila hafungamani na Dini yoyote ile hapa duniani. Yeye anaamini Mungu hana Dini na kwamba hizi sheria za Dini hazikuwekwa na Mungu bali watu.
 
Mkuu nafikiri unachanganya kati ya Atheism na Paganism. Mtu asiyeamini katika Mungu wala Dini ni Atheist na mtu asiyeamini katika Dini ila anaamini katika Mungu na Asili ni Pagan.

Mpagani yeye anaamini Mungu yupo ila hafungamani na Dini yoyote ile hapa duniani. Yeye anaamini Mungu hana Dini na kwamba hizi sheria za Dini hazikuwekwa na Mungu bali watu.
Nakuelewa boss.
Sasa swali ni kwamba kama dini=imani na kuamini katika Mungu ni imani kwann kuamini katika mungu na asili sio dini?
 
Unamaanisha dini ni urithi na sio consent ya mhusika kuwa katika hiyo dini! Ni nini kifanyike uwepo mfumo wa idhini ya mhusika?
Hapo ndio nakosaga jibu la swali, dini ya kweli ni ipi?

Mkiristo anajibu ukiristo ,muislam anajibu uislam kadhalika na dini nyingine, na kwa maandiko pia ya dini husika yametuasa bila kufuata mafundisho ya aliekuwa nabii wa dini husika huwezi kuiona Pepo/Mungu, ukichukulia ya kwamba mafunzo Yao yamekinzana kwenye baadhi ya Mambo(njia ya kwenda kwa Mungu).


Hapo sasa dini zenyewe tumerithi, kwa iyo walozaliwa upande wa uongo Mungu atawasamehe Tu sababu ukizaliwa na mkiristo hawezi kukupeleka madrasa ufunzwe dini vivyo hivyo kwa muislam hawezi peleka mwanae Sunday school akafunzwe dini tofauti na hapo hukumu NI ya wazazi wetu.

KUJIULIZA/KUULIZA SIO UJINGA KWA JAMBO AMBALO HUJAFUNULIWA BALI NI KUTAKA KUJUA.
DINI KWA KIASI ZIMETUWEKEA KIKWAZO KWA NENO (kukufuru /Yasiyofunuliwa tuyaache)
 
Hapo ndio nakosaga jibu la swali, dini ya kweli ni ipi?

Mkiristo anajibu ukiristo ,muislam anajibu uislam kadhalika na dini nyingine, na kwa maandiko pia ya dini husika yametuasa bila kufuata mafundisho ya aliekuwa nabii wa dini husika huwezi kuiona Pepo/Mungu, ukichukulia ya kwamba mafunzo Yao yamekinzana kwenye baadhi ya Mambo(njia ya kwenda kwa Mungu).


Hapo sasa dini zenyewe tumerithi, kwa iyo walozaliwa upande wa uongo Mungu atawasamehe Tu sababu ukizaliwa na mkiristo hawezi kukupeleka madrasa ufunzwe dini vivyo hivyo kwa muislam hawezi peleka mwanae Sunday school akafunzwe dini tofauti na hapo hukumu NI ya wazazi wetu.

KUJIULIZA/KUULIZA SIO UJINGA KWA JAMBO AMBALO HUJAFUNULIWA BALI NI KUTAKA KUJUA.
DINI KWA KIASI ZIMETUWEKEA KIKWAZO KWA NENO (kukufuru /Yasiyofunuliwa tuyaache)
Hakika! Zimeleta utengano na mgongano baina ya watu wa jamii moja.
 
Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya DINI na IMANI....hata kwangu Mimi siamini Sana katika dini Ila kwangu IMANI ya uwepo wa MUNGU MUUMBA NA MWENYEZI ninayo na hiki ndo nadhani ni kitu muhimu Sana kuliko DINI.
 
Back
Top Bottom