Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Dini ni kwa mataira tu,waliozaliwa na ubongo timamu hawana dini na ikitokea mwenye akili ana dini basi jua kuna miradi anataka kufanya kupitia iyo dini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Adamu na Eva kufukuzwa Bustanini,wakati wa Nuhu,Abraham,Yakobo na Yusuph hawa wote walikuwa wamekatazwa wasile tunda tu?Si kweli, labda kama hujui tafsiri ya neno sheria.
Sheria ya kwanza ni lile katazo la matunda ya mti wowote waweza kula, isipokuwa mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Hapo ndo mara ya kwanza binadamu anakutana na sheria na kuivunja.
Sheria ni mfumo wa kanuni, katazo, sharti, amri, maelekezo ambayo kwa kawaida hutekelezwa na jamii, taasisi, nchi, au kundi kupitia seti ya taasisi maalumu.
Sheria za MUNGU hazijawahi kutokuwepo, kilichoongezeka ni hukumu kupitia neema na roho mtakatifu kuongoza wakristo katika kuzifata sheria. FULL STOP.
37 Yesu akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote.’ 38 Hii ndio amri kuu, tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili inafanana nayo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ 40 Amri hizi mbili ndio msingi wa sheria zote na Maandiko ya manabii.”
We Sheikh wako awe Abubakar Shekau na wenzake , mtaenda mbinguni kweli??Yan we mchungaji wako awe gwajima alaf akwambie zinaa mbaya hivi utamwelewa kweli na wakat unajua kabisa ye mwenywe ana video yake kabsa kule site pendwa ya wahuni XXXVideo? Lazma tu uone dini ni usanii.
Nenda kwenye hoja utueleze maoni yako moja kwa ndugu Yona usianzie mbali hivyo.Tafsiri ya upagani kwa Kingereza ni ipi?
Hapa sasa unaanza siasa.Baada ya Adamu na Eva kufukuzwa Bustanini,wakati wa Nuhu,Abraham,Yakobo na Yusuph hawa wote walikuwa wamekatazwa wasile tunda tu?
Unataka kusema kabla ya Amri kushushwa kupitia Musa amri ilikuwa ni usile tunda tu au sio?
Baada ya Mungu kuwatimua Bustanini aliweka Makerubi kulinda mtu asiingie tena.Unataka kusema kwa sababu palikuwa hapaingiliki kipindi chote hicho watu hawakutenda dhambi?
Na kama unasema Sheria zilikuwepo ni zipi na zilitajwa wapi? Mi nimesoma vitabu vyote vitano vya torati na hakuna hata kimoja chenye amri au sheria kabla ya Musa kushushiwa Torati kwenye mlima Sinai.
Nenda kwenye hoja utueleze maoni yako moja kwa ndugu Yona usianzie mbali hivyo.
Umetaka tafsiri ya kingereza na mpare naye aulize ya kipare na mchina naye aulize ya kichina.
Ooh, ookey. Haya ni maelezo mafupi yenye Elimu.Kuna waswahili wanachanganya "Pagans" na "atheists".
Neno mpagani kwa kiswahili linaweza kuwa na maana mbili zilizo tofauti sana(kwa maana ya watu wasio kwenye dini za Ukristo au Uislamu pia kwa watu wasiokuwa na dini yoyote) .Ufinyu huu wa msamiati inaweza kuwa ni kutokana na watu wasio na dini kwenye jamii ya Afrika au Kiswahili kuwa ni jambo jipya lisilo la muda mrefu.
Unaleta mkanganyiko katika chapisho lako unamchangnya Mungu na dini ya biblia. Tujikite latika mada!1. Ukisoma biblia kwa mfano, utaona kuwa hili si jambo geni kwa watu 'kuacha njia ya kweli' na kuanza 'kutangatanga'. 2 Anza na Adam na Eva bustanini Eden - Mungu aliwapa kila kitu, lakini hawakuridhika. 3. Nenda wakati wa Nuhu. 4. Nenda kwenye Mnara wa Babeli. 5. Nenda Sodoma na Gomora... 6. Nenda kwa waana wa Israeli katika safari yao kuelekea nchi ya ahadi. 7. Nenda enzi za nabii Amos na Hosea mambo yaliyokuwa yakitendeka. 8. Nenda wakati wa nabii Ezekieli, Danieli na Yeremia. 9. Nenda wakati wa Yesu, hata watesi wake kuamua kumtesa na kumuua kwa kuona heri aachiwe huru mhalifu, lakini mwenye haki auawe. 10. Nenda wakati wa Matendo ya Mitume - wale wafuasi wa Yesu walivyokuwa wakikatazwa kuhubiri habari za Yesu, wengine kama Stephano kupigwa mawe hadi kufa, na Saulo alivyokuwa akiwatesa na kuwaua Wakristo kabla ya kuongoka kwake...11. Ukimaliza hapo sasa njoo wakati wetu huu, ambapo watu tunahangaika na maisha zaidi na kusahau hata kumjulia hali jirani yetu anayeumwa na tuko radhi kumwibia mtu kuliko kumwambia 'umeangusha hela au simu yako'...12. Bila shaka unakumbuka kipindi ndugu zetu albino walivyokuwa wakiwindwa kama wanyama kwa kudhani viungo vyao vina nguvu za kimuujiza za kuleta utajiri na baadhi yao waliuliwa na wengine kukatwa viungo na kuachwa wafe au wauguze majeraha waliyosababishiwa...13. Kuna watu wanalawiti watoto, wanafanya mapenzi na wazazi au ndugu zao, wengine wanabaka na wengine wanafanya mapenzi na wanyama, wakidai wamezidiwa na tamaa...14. Yote haya kwangu ni matendo yanaonyesha kuwa tumemwacha Mwenyezi Mungu - yaani tumeachana na njia sahihi na kuamua kwenda kivyetu vyetu (ovyo ovyo) na huenda ndilo swali unalouliza hapo juu. Kwa kifupi sana 'we are lost' kama ilivyo ile stori ya 'mwana mpotevu' kwenye Injili ya Luka 15:11-32 na unaweza kujiuliza Yesu alikuwa na maana gani? 1) kwa yule mwana aliyeenda kutapanya mali na baadaye kutubu na kurudi na kisha kupokelewa na baba yake na kufanyiwa sherehe kubwa ndiye 'mwana mpotevu' au 2) yule mwana mwaminifu siku zote, lakini alikataa kuingia kwenye sherehe iliyoandaliwa na baba yake kwa madai kwamba baba yake amempokea ndugu yake aliyerudi na kumfanyia sherehe kubwa, wakati yeye ambaye amekuwa mwaminifu siku zote hajawahi kumkosea baba yake hajawahi kufanyiwa sherehe kama hiyo? Ukiona dalili hizo zinazokufikirisha hivyo, ujue ndiyo muda hasa tunaomhitaji Mwenyezi Mungu kuliko muda mwingine wowote na hata hao wanaohama dini na kusema hawamwamini Mungu: jiulize, kwa nini wakati ule waliamua kuwa waumini na kwa nini sasa wameamua kwenda kivyao vyao? Lini walikuwa sahihi: wakati ule au wakati huu? Kama wanadai walipotoshwa au walibatizwa kwa kufuata imani ya wazazi/walezi wao ni mambo mangapi ya wazazi wao wameachana nayo? Kama wakati ule hawakuwa sahihi, wanajuaje kwa sasa ndiyo wako sahihi - na ni kigezo gani wanachotumia?
Kuongezeka kwa elimu, kujiamini na kujitambua ukiachia mbali utajiri na maendeleoHabari 👋🏾
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
Tujikite kwenye mada mdau! Hapa sio sehemu ya kueneza hadithi na riwaya zinazochochea umaskini, utengano, ujinga na chuki.Baada ya Adamu na Eva kufukuzwa Bustanini,wakati wa Nuhu,Abraham,Yakobo na Yusuph hawa wote walikuwa wamekatazwa wasile tunda tu?
Unataka kusema kabla ya Amri kushushwa kupitia Musa amri ilikuwa ni usile tunda tu au sio?
Baada ya Mungu kuwatimua Bustanini aliweka Makerubi kulinda mtu asiingie tena.Unataka kusema kwa sababu palikuwa hapaingiliki kipindi chote hicho watu hawakutenda dhambi?
Na kama unasema Sheria zilikuwepo ni zipi na zilitajwa wapi? Mi nimesoma vitabu vyote vitano vya torati na hakuna hata kimoja chenye amri au sheria kabla ya Musa kushushiwa Torati kwenye mlima Sinai.
Tujikite katika mada! Thread hii sio sehemu ya riwaya za vyama vya kale.Si kweli, labda kama hujui tafsiri ya neno sheria.
Sheria ya kwanza ni lile katazo la matunda ya mti wowote waweza kula, isipokuwa mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Hapo ndo mara ya kwanza binadamu anakutana na sheria na kuivunja.
Sheria ni mfumo wa kanuni, katazo, sharti, amri, maelekezo ambayo kwa kawaida hutekelezwa na jamii, taasisi, nchi, au kundi kupitia seti ya taasisi maalumu.
Sheria za MUNGU hazijawahi kutokuwepo, kilichoongezeka ni sheria kuu ya kwanza na ya pili, hukumu kupitia neema na roho mtakatifu kuongoza wakristo katika kuzifata sheria. FULL STOP.
37 Yesu akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote.’ 38 Hii ndio amri kuu, tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili inafanana nayo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ 40 Amri hizi mbili ndio msingi wa sheria zote na Maandiko ya manabii.”
Thibitisha nilivyojichanganya maana haitoshi tu kusema hivyo nikawa nimejichanganya.Unaleta mkanganyiko katika chapisho lako unamchangnya Mungu na dini ya biblia. Tujikite latika mada!
kama sio shetani bas Mungu mwenyewe ana asili ya uovu au sio??kwasababu tumeumbwa kwa mfano wake tumerithi hali ya uungu ya rebellion si ndio??Basi tunaonewa iwapo tutachomwa moto milele au sio??Tatizo kaka unalazimisha kuwa chanzo cha uovu ni shetani kitu ambacho sio cha kweli. Mungu ametuumba kwa mfano wake na tunatambua kuwa Mungu anataka heshima,kupendwa,kuabudiwa na kutukuzwa. Basi kama tumeumbwa kwa mfano huo its natural kutambua kuwa hiyo haja na sisi tumeirithi(angels included). Na haja hiyo ndiyo iliyomprompt shetani kuasi.(Alitamani kuwa kama Mungu).He was with God so he understand the Beauty of being God himself he didn't need anybody kumshawishi. So he sinned against God.
Humans was happy with what they have.Lucifer came to try to stir them into sinning.He tried to make them feel that they can fulfil that desire from inside,desire of being respected and worshiped.If you remember correctly Shetani aliwaambia wanaweza kuwa kama Mungu.That wasn't new desire to humans its was just domant.He actived that desire by making it seem possible.
So my friend Lucifer didnt need anyone to stir him into rebelion.That innate nature made him exrcise his will and went against God. And Later Lucifer used that same innate nature humans have to stir them into exercising their free will to sin against God.
Thread inaeleweka! Sio sehemu ya kueneza propaganda za biblia na maandishi ya kusadikika. Jikite kwenye mada kwanini ushawishi wa dini na karatasi zake unapungua?Thibitisha nilivyojichanganya maana haitoshi tu kusema hivyo nikawa nimejichanganya.
Sasa kama nilichoandika hukielewi, utaelewa nini?Thread inaeleweka! Sio sehemu ya kueneza propaganda za biblia na maandishi ya kusadikika. Jikite kwenye mada kwanini ushawishi wa dini na karatasi zake unapungua?
JikiteTujikite katika mada! Thread hii sio sehemu ya riwaya za vyama vya kale.