machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 565
- 1,158
Hofu Ina nguvu kuliko Imani, amini usiamini UVIKO- 19 imeacha mapengo na hofu kubwa katika madhabu na mioyo ya wauminiUVIKO-19 ndio sababu ya watu kuacha kuhudhuria kanisani?
Imekaririka ikisemwa kanisani utaponywa kila maradhi na hakuna tatizo likatizalo mbele ya madhabau ya bwana kunani tena UVIKO-19 aivunje mipaka hii?