Nini kipo nyuma ya ukuaji na ongezeko la watu wasiokuwa na dini?

Nini kipo nyuma ya ukuaji na ongezeko la watu wasiokuwa na dini?

Kama kwa wakatoliki unasikia kila siku mapadre wanalawiti watoto,, makanisa yamekua sehemu ya kulazimishana michango kila siku huku waumini wenyewe maisha ya kuungaunga yaani mtu unaweza kukataliwa kupewa huduma za kiroho kisa tu hujawapa visenti.........kizazi cha sasa watu wanafikiri sio kama zamani watu wanapelekeshwa tu
Ahaa! Kwa maana hii dini ni vyama vinavyojiendesha katika njia tofauti na vyama vya siasa au waweza sema ni kundi na kusanyiko la watu?
 
Ndio Maana nimekuletea maana ya upagani! Unatakiwa kutofauti DINI na MUNGU kuna MUNGU na kuna DINI kwa muktadha wako bado hujawa na uwezo wa reasoning ndio maana unashindwa kutofautisha MUNGU na DINI.

Si kila asiye katika dini haamini uwepo wa MUNGU.
Ukishaamini katika MUNGU tayari una dini, usipoamini tayari wewe ni muumini wa upagani na upagani nao ni dini. Acha porojo na tafsiri zako za google.
 
Sasa ndugu yangu Mimi naumwa badala ya kunishauri niende hospital unaniambie nikanunue maji ya upako nitapona, hv unategemea nini nikija shtukia hiyo dini unaweza kunishawishi tena kirahisi kuhusu dini
 
Ni baada ya watu wengi kuziona dini kukosa mvuto na msaada ktk struggle zao nyingi. Pale ambapo watu wanakuwa oppresed na watawala na makanisa yanakaa kimya watu wanakosa majibu.

Kukithiri kwa umasikini,njaa,machaguko majanga ya asili vyote hivi vonawafanya watu wakose majibu juu ya dini. Dini imefundisha watu kuwa wameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu,sasa haiingik akilini mwa wengi kuiamini dini Kama kweli masikini na wenye kutaabika wengi ndo taswira halisi ya Mungu huyo anayeubiliwa na dini ilhali wahubiri wa hayo wenyewe wanaishi maisha ya anasa.
Tukubali wengi tutakombolewa kwa neema.
Kuna mambo hapa umegongelea misumari mithili ya ile ya Bethlehem! Hivi ni mimi tu ninayeona maskini, wasiojiweza, wanafiki, wanaozaa hovyo hovyo na watu wanaoishi tu kwa asilimia 95 ni walioloea katika dini?
 
Wanakua na taratibu za maisha wanazo zijua wao wenyewe hii inatokana na wazazi/walezi kutowarithisha dini zao
Unamaanisha dini ni urithi na sio consent ya mhusika kuwa katika hiyo dini! Ni nini kifanyike uwepo mfumo wa idhini ya mhusika?
 
Oh! Kumbe

Dini yangu ni ipi katika jina moja maana naamini katika Mungu lakini sifahamu dini yangu? 🤔
Huyo mungu unayemwamini huwa unafanya ibada ya kumuomba?

kama ndio basi hapo unapomuomba ndo kanisani kwako hata kama ni chumbani.

Wewe ni muumini na tendo la maombi ni la kidini, kiimani na ibada.

Jina la dini yako linaweza kuwa lolote hata ngariba church ni sawa tu, utakavyopenda wewe.
 
Nimesoma chuo kinachofundisha uchungaji (Theology).

1. Wachungaji tulikua tunagombania nao mademu wa chuo.
2. Wachungaji wanagonga vitoto vya certificate.
3. Wachungaji wanaomba video za porn
4. Mama wachungaji tunawala vizurii
5. Mashekhe hawaeleweki
6. Padre kafumaniwa na mchumba wa mtu.

Wotee Hawa NDIO UNAENDA WASIMAME MADHABAHUNI KUKUHUBIRIA..!!!???

#YNWA
Aisee! Kumbe yapo mengi yamejificha nyuma ya hizi dini?
 
Aisee! Kumbe yapo mengi yamejificha nyuma ya hizi dini?
Kuna mshikaji wangu alikua aoe mwaka 2016 ila alimfumania mchumba wake na padre.

Nilishawahi share demu na mchungaji mkubwa sanaa Dar, nikitaja kanisa lake HAKUNA MKAZI WA DAR ASIYELIJUA.
Ila tulikua tunakula mbunye moja na ana mke..!!!

#YNWA
 
Huyo mungu unayemwamini huwa unafanya ibada ya kumuomba?

kama ndio basi hapo unapomuomba ndo kanisani kwako hata kama ni chumbani.

Wewe ni muumini na tendo la maombi ni la kidini, kiimani na ibada.

Jina la dini yako linaweza kuwa lolote hata ngariba church ni sawa tu, utakavyopenda wewe.

Binafsi nadhani nafanya Ibada lakini siwezi kufahamu kama namuomba maana naamini Mungu huyu mkuu anafahamu wajibu wake.
 
Kuna mshikaji wangu alikua aoe mwaka 2016 ila alimfumania mchumba wake na padre.

Nilishawahi share demu na mchungaji mkubwa sanaa Dar, nikitaja kanisa lake HAKUNA MKAZI WA DAR ASIYELIJUA.
Ila tulikua tunakula mbunye moja na ana mke..!!!

#YNWA
Ah! Kiongozi haya maneno ni mazito sana kwangu! By the way unaweza kuruhusiwa kutoa shuhuda hizi katika hizo dini waumini wakiwepo?
 
Binafsi nadhani nafanya Ibada lakini siwezi kufahamu kama namuomba maana naamini Mungu huyu mkuu anafahamu wajibu wake.
Unamuongelea mungu yupi sasa? Huyo wa kwako au yupi? Maana wapo wengi na kila anayeamini wa kwake anasema ni mkuu.
 
Ah! Kiongozi haya maneno ni mazito sana kwangu! By the way unaweza kuruhusiwa kutoa shuhuda hizi katika hizo dini waumini wakiwepo?
Achanao nao, viungo vya uzazi ni vyao.

Watajua wenyewe.

WE TAFUTA HELA ILI UENDE MBINGUNI....

We tafuta hela halafu Toa sadaka, toa zaka, saidi yatima na wajane, wafikie wagonjwa na mengine kama hayo.

#YNWA
 
Dini zote ni upuuzi na utumwa, uongo uliopitiliza umejaa kwenye hivyo vitabu vyao! Mfano eti Mariam alikuwa bikra Hadi hapo alipoingiliwa na "Mungu", wakati by that time alikuwa ameshaolewa na Joseph, and walikuwa wameshadinyana sana tu, na walikuwa na watoto wakubwa before Yesu!

Or eti wengine wanasema ukilifia jina la Mungu wao unaenda kupewa mabikra 72 akhera, so wao katika zawadi zootee mabikra 72 ndiyo wakaona zawadi kubwa, then vipi kuhusu wanawake wataolifia jina la huyo Mungu, wanapewa nini? Dini ni uongo ulioletwa kuwapumbaza wajinga ili waendelee kuwa mazoba
 
unamuongelea mungu yupi sasa? Huyo wa kwako au yupi? Maana wapo wengi na kila anayeamini wa kwake anasema ni mkuu.
Ahaa! Ndio maana nirudi kusema hujawa na uwezo wa reasoning! Fahamu kutofautisha MUNGU na DINI! Kuna MUNGU na DINI.

Hao wengi wa kweli yupi? Anaweza kujisimamia ukimtoa katika dini? Mungu ndio chanzo cha maisha hao Mungu wengi unaweza kuonesha bidhaa zao?

Nikimaanisha MUNGU wa dini A watu wake wanatofauti zipi na MUNGU wa dini B, C na D etc? Wametumia material tofauti au wapo wanaozaliwa na wengine kushushwa au kutokea katika transition?
 
Dah!. Binafsi naamini Mungu yupo na ndio aliyenibariki nipo na maisha mazuri kwa Sasa.
Ila sijaenda kanisani miaka na miaka ( Mimi ni RC). Tatizo kwa kweli zile sanamu na mipicha tunayoambiwa ni yesu Kule kanisani zinanikwaza sana.

Yaani mtu kachonga mjisanamu wake na mti wa mpingo Leo hii naambiwa kuwa niheshimu kuwa ni mfano wa yesu!!?. Nimeshafafanuliwaga na watu mbali mbali kuhusu hizo sanamu Ila sikuwaelewa hata kidogo.

Nimejaribu kusali makanisa mbali mbali Ila kote kumenishinda. Ila Kama sio sanamu na mipicha picha kanisani, basi RC is the best.
 
Back
Top Bottom