finally people are waking up...tulipowaambia haya mambo ya utumwa yana mwisho tulkuwa na maana itafika kipindi na wakat ambapo watu hawatakuwa tena na uoga wala heshima kwa iyo miungu ya kigeni ya akina Allah na mwenzie Jesus mwenye baba yake uko mbinguni yule jehova sjui yehova elishadai, alpha & omega,
hiyo yote ni utumwa iliyokuwa ikishikilia akili za watu, na tayr watu wanaanza kujua madhara ya kukumbatia izo imani, yaan wanaona ni bora wawe wapagani kama mnavyowaita kulko kushika izo imani,
mim mwnyew nlkuwa mshika imani mkubwa sana, lkn nowadays nmefunguka siamin Kiumbe yeyote yule anaejiita Mungu ama mnaemuabudu, na wala siamin stori zao za Qur'an na biblia maana hazina ukwel wowote maana zliibwa na kubadirishwa kwa maslahi ya wapuuzi wachache,
kutokuamini izo imani haimaanishi mtu huyo asieamini ni muovu sana ama anatumia kichaka cha upagani kutenda maovu, hapana,
kuamka kiakil maana yake ni kuachana na vifungo vya akili na kuacha kbsa tamaduni za kiimani za wageni tulizoaminishwa kuwa ni sahihi, badara yake unarud ktk uhalisia wa muafrika wa kwel, ambye iman yake ni utu, matendo mema na kuwajali wengine,
na hii ni zaid ya dini, na mujue kuwa hata tunaopinga uwepo wa miungu ya kigeni na dini zao, tunayo imani ya Muumba wa kweli ambaye sio huyo mnaeaminishana makanisani kuwa aliumba dunia na mbingu huku yeye hajulkan alikuwa wapi wakat akifanya uumbaj wake wa uongo, na end of days tunakuja kuambiwa tena nae yupo umo umo ktk mbingu aliyoiumba akizungukwa na viumbe wakusadikika wanaojiita wazee24, haya yote ni mashetani yanayojivika utakatifu ili yaabudiwe,
kwa bahat mbaya dunia nzma kupitia dini zotee znamuabudu kiumbe mmoja aitwae shetani kupitia majina tofaut na uhusika tofaut, na yule wanaemuita shetani, sio shetan bali ni mfanyakaz ama kibaraka wa shetan anaebeba maovu ya shetan ili shetan mwenyewe muhusika ajitakase na kuonekana mwema,
Nje ya pazia hakuna lolote jipya, wapo wanaojua ktk hizo dini zenu, na wamekausha hawataki muujuwe ukwel, maana wanafaidika na ujinga wenu kuendelea kuwa vipofu wa kiroho na akili.
Muumba wa kwel anaabudiwa kwa kiasi kidogo sana, kutokana na watu kukataa maarifa mapya, na badala yake wamekumbatia ujinga wa dini na mafundisho ya uongo yaliyoletwa na wahuni yaani wamissionary na waarabu, hawa wote ni wahuni.
shetan anapenda sana sifa na kucopy mambo, ndyo maana alimtambulisha mwanae pepo azazel&Krishna & zeus ulimwnguni ili awe mkomboz kwa wafuasi wa dini, kwa kupitia tambiko la damu yake, unapoiamini na kuinywa kiroho unakuwa sehem ya mkataba ama sehem ya maagano ya kuungana nae ktk ufalme wa shetani.(mbingu za kusadikika).
mwana huyo ndye yule yule mpuuz waliemtambulisha tena warumi miaka ya 325A.D kwa utambulisho mpya baada ya watu kusanuka, wakampa utambulisho mpyaa na kumuita Jesus, ama yesu ambye majina yake yametokana na uchambuzi wa herufi kutoka majina ya mwanzo ya huyo zeus,
kila mtu ni mwana wa Muumba iweje izo dini zenu ziseme uyo Mungu wenu anae mwana wapekee? sie wengine na hao malaika ni wakina nan kwake?
kuna mambo meengi yakueleza kwa bahat mbaya wabongo hawapendi kuusikia ukwel, wanaishia kutukana na kukashifu wakati uo vitabu vyao vinawalazimisha kutafta elimu kwa bidii, lkn wao wanapenda mteremko kwa kuamini mambo bila kuhoji...
Hakuna mbingu, pepo wala jehanamu ya moto , hizo zote ni stori za wapuuzi waliotunga dini ili kuwatisha mzidi kuzifuata.
baada ya kifo ni hakuna linalofanyika zaid ya kuusubili ule mwisho ambapo kila mtu atalipwa ujira wake kutokana na matendo yake hapa dunian,
mambo haya wafia dini wanayachukia sana, maana baba yao ibilisi ndye chanzo cha kuchukia ukweli, hivyo kawapa wanae sifa hiyo pia ya kuchukia ukweli.
bahat nzur mwisho unakaribia ambapo ukwel utajulkana wazi na utawekwa wazi na yule aliyeibiwa historia yake na kumpa asiestahili, yaan Kaka wa viumbe wote kwa wanadamu ambaye washika dini walimpa majina feki kwa kumuita isa bin mariam/yesu christo/jesus, huyu akiwa na mdogo wake aliyepo ktk kipindi hiki na anefichua siri za uovu, hawa ndye watakae hukumu hii dunia na kurudisha ufalme kwa mtu mweusi kuitawala dunia kama mwanzo.