Queenever1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 422
- 815
Nikiwaza siku ya mwisho matendo yetu yataoneshwa kwenye tv naishiwa nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very true and well elaborated.....now I do believe you must be knowing that there is a difference between Faith and religion as this is vivid and obvious as per the statement you have given above.Dhambi ni neno linatumika katika dini zote. Neno hilo ni sawa na neno kosa. Huhitaji dini ya Kiislamu au Kikristu kujuwa kuwa kuzini ni kosa. Wale wote mnaowaita wapagani wanajuwa na kukubali kuwa zile amri kuanzia ya nne hadi ya kumi pia ziko kwenye imani zao. Tofauti yao na ninyi ni nani wa kuabudiwa. Wakati wewe unaenda Msikitini au Kanisani kumuomba Mungu wako wao wanazo sehemu zao za mitambiko. Kusali au Kuswali ni aina fulani ya tambiko. Unaweza kuliita tambiko la Kiklristu au tambiko la Kiislamu...those are just words but acts singify being in the process of doing what you believeagain what you believe is a requirement for being a believer!
Mkuu nilikuelewa kwa uzuri, hili la viongozi wenu linachangia sana kwa wengi katika kuondokana na dini.
Upendo ni amri ya bwana, mpende jirani yako na mpende Mungu wako. Mbingu utaiona.Nikiwaza siku ya mwisho matendo yetu yataoneshwa kwenye tv naishiwa nguvu
Heri uamini yupo uende usimkute kuliko uamini hayupo uende umkute.Yaan umenena ukweli mkuu, mm wenyewe ukininbia fumba macho tuombe, napata maswali........
Ukiniambia inua mikono juu Kama ishara ya kusarenda kwa Mungu napata maswali......, Mungu yuko juu hipi?
Ukiniambia maombi ya usiku wa manane yanajibiwa na Mungu kwa haraka napata maswali.....
Yaaaan maswali maswali .....
Lakin Mungu yupo tusiache kumwani. Jaman
Sababu mimi ninayo ona sana ni kwamba mungu yupo ila walewaliopewa wawasilishe habari yake ndio wanaochanganya habari na ndio inafikia mpaka watu wanashindwa kuamini kwa mfano haya makanisa mengi tuu yamejitengenezea system zao za kuwasilisha hizi habari amabapo ukifikiria hazina maana na wakati mwingine unaweza kujiuliza inatokea vipi Mfano mtu anakuambia Mungu alisema tusiue tena baadae anawapa amri wengine waue ukiuliza majibu yanakua mengi mfano mzuri, N hii ishu sio kwetu tuu ilianzia kwa hao waisraeli waliopewa uelewa wake mara ya kwanza na wakabadilisha yakawa mengine'Habari 👋🏾
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
Hakuna kitu kama hicho, watu wa dini wamejaribu kutumia mbinu zote kututisha Ila hakuna siku ya mwisho.Nikiwaza siku ya mwisho matendo yetu yataoneshwa kwenye tv naishiwa nguvu
hivi dunia ilaianza kuisha lini maana tokea malaika wanaumbwa walimkataa na kufuata mambo yao , waisaraeli mika hiyo ya kina musa ndo kabisa vita kila kona walipigana waliua ndugu zao ..hebu tupo dunia ilianza kuisha lini au ilianza kuisha pale walipowekwa watu tu duniani? auKama Mungu anadhihakiwa na kudharauriwa hivi hadharani
Ni dalili za wazi mwisho wa dunia haupo mbali sana
Ni dalili nzuri ya watu kujitambua na kujikomboa kifikra. Ni muhimu kuwa na Mungu lakini siyo dini. Dini ni mifumo ya kiimani iliyotungwa na wanadamu ili kukidhi matakwa yao binafsi. Hata wewe ukiamua unaweza kubuni dini yako ukawahamasisha watu kisha ukapata wafuasi(wa muda na wa kudumu).Habari [emoji1480]
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
Upagani ni kikundi chochote cha watu, kiimani ambacho siyo "popular" ' hakina mawanda mapana ya kijografia, mfano, bara moja hadi lingine.' Na chaweza kuwa kinaabudu Mungu mmoja au miungu.Upagani ni jina la kutaja imani za dini ambazo ama zinaabudu miungu mingi au ni dini za jadi.
Context yangu ni watu kupoteza ushawishi na kutokuwa katika dini.
Ukuaji wa manabii wa uongo unakatiisha tamaa watu. Ukimuahidi mtu utamponya ukimwi, mwisho wa siku afe, unakatisha tamaa ndugu.Habari 👋🏾
Nimefanya tafiti katika vipindi, nyakati na maeneo tofauti na inaonekana wazi ushawishi wa dini unapungua kwa kasi kubwa sana.
Inaonekana wengi kutokuwa na hakika katika dini mbalimbali na wengi wao bado wanajaribu kujionesha katika ngwe hiyo kwa sababu kadhaa ikiwemo kutokataliwa na jamii hizo.
Je, ni ipi sababu ya ukuaji wa kiwango hiki cha watu kutokuwa na dini kama ilivyozoeleka?
Mi naona unapoishi wewe usijumuishe kote makanisa mengi sana yanajaa watu mbaka nje so jiongelee wewe binafsi unayefata kuchunguza watu badala ya kusali 🙄🙄Binafsi yalivyonipata nilimtafuta Mungu. Nimeleta hoja hii baada ya kuona ushawishi umepungua kwa walio wengi.
Inasikitisha sana na fikra zako hizo eti wazungu walileta na wameitupa???!! Tembea uone nchi za kizungu usiongee habari za vijiweni halafu msipende kukremisha ukristo ni uzungu dah??!!! Mbaka leo bado unaakili hizi Mungu akusaidie sanaDini ililetwa na mzungu, kwanini mpaka leo bado kuna watu hawajielewi wakati walioleta dini kwa asilimia kubwa wameisha itupa kule
Mbona uongelei uislam watu wanakufa maka 500000 kwa kukajagana na mbaka leo misikiti mingi mashariki ya kati inatapakaa damu huoji unakazana na kanisa tuuuuMengi tu, kibwetere alipiga kiberiti waumini
Juzi mwamposa kaua zaidi ya watu 20 kwenye kukanyaga mafuta na still watu wanazidi kujazana kwenye matamasha yake, do you think they use common sense effectively?