Ili amani iwe ya kweli ambayo haina unafiki basi ni lazima haki iwepo. Kama hakuna haki, hakuna amani ila ni utulivu wa muda tu.Je bila Aman Kuna haki inaeza kutendeka maana moja laweza kuchelewa
Umeielezea vizuriInahitaji akili kubwa sana kueleza kwa ufasaha dhana ya haki na amani.
1. Kuna nyakati watu hupigana ili kutafuta amani.
2. Vurugu sio kinyume/ (opposite of) cha amani.
Dhana ya Haki na Amani huwa aimuliwi kwa kuangalia kipi kinatangulia.
Kumbuka :- Amani ikiwepo inatoa nafasi kwa haki kutendeka, Haki ikiwepo inatoa uhuru na hakikisho la watu kufurahia amani.
Justice and peace is a two headed snake.
Hakuna amani bila hakiBinafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Haki huleta amaniBinafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Wanaelewa vizuri kabisa ila wameamua tu kufanya fujo.Amani ni tunda la haki.Bahati mbaya viongozi wetu wa dini wamemezeshwa amani amani, wamesahau haki.ukweli ni kwamba anayehubiri amani bila kuhubiri haki apoteza muda bure..
Kwa mfano hapa Tz ,,amani bado ipo ila kuna vitendo visivyo vya haki ambavyo vinaweza vikapelekea amani kutoweka.Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Je bila Aman Kuna haki inaeza kutendeka maana moja laweza kuchelewa
Msingi wa uubwaji wa huu ulimwengu tunaoishi leo ulikuwa ni HAKI..... na ndiyo maana kuna maneno tunasema Mwenyezi Mungu ni mwenye HAKI.... bila kutenda HAKI unatenga nafsi yako na Mungu..... Na ndiyo maana watu huapa kwa kuanza kwa kutamka neno HAKI..... kwa mfano.... Kama si HAKI yangu sawa tutaona...... nk.
Sasa ukishakuwa na HAKI basi Amani by default hufuatia...... HAKI ni tunda la AMANI..... maana penye HAKI upendo (amani) hutawala.
Sasa SHETANI huwa hataki kabisa kusikia neno HAKI...... na ndiyo tunasema kwamba msingi wa uubwaji wa dunia hii ulianzia kwenye HAKI.
Utakuwaje na amani bila hako? Haki huzaa amani soBinafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Ukondoo si amani. Haki ndio Kil kitu.Haki haiwezi kupatikana kwenye machafuko
Lakini Haki, inapatikana tu pale panapokuwa na Amani
Kwa hiyo, Amani ndio kila kitu
Na hata hivyo, Mfumo wa maisha yetu yanaonyesha, Tulizaliwa pasipo kuzijua hahi zetu, Ila tulipopevuka ndipo tukaanza kuelewa haki
Hivyo, kitu kinachotangulia ni Amani, Kwa sababu kama tungelizaliwa wakati wa ukosefu wa Amani tungelikufaga pasipo kuelewa nini maana ya haki
Amani Kwanza, na ndipo haki itafutwe katika Hali ileile ya Amani