Amani bila haki ni kitu cha kufikrika . hatuna neno la kuelezaa hali hiyo ila kwa lugha rahisi ni ukosefu Wa vita au vurugu unapotamba eti una amani wakati hamtendeani haki.
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app