Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.kwa
Kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na kuiba trilion 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara ndiyo usaliti mkubwa kuliko usaliti wowote DunianiCHADEMA mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA Akiwaletea CHADEMA hata wabunge wawili mkatambike
Bora HAKI ianze maana Amani haipo siku nyingi lakini Tanzania ikasalia kuwa kisiwa na uvumilivuBinafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Tanzania hakuna Amani kuna kisiwa cha uvumilivu tu, HAKI ndiyo isimame mbele zaidi kisha Amani ya kweli itarejea moyoni mwa watanzaniaKama HAKi inatendeka, yeyote akishinda ni sawa.
Lakini kama mgombea wa upinzani anatekwa, au anakamatwa na polisi anabambikiwa kesi ya uzushi anawekwa ndani hadi muda wa kurudisha fomu upite, halafu mgombea wa CCM anatangazwa kupita bila kupingwa, hapo hakuna haki.
Mfano mwingine ni wasimamizi wa uchaguzi au wakurugenzi kuapisha mawakala wa CCM na kukataa kuapisha wale wa upinzani.
Matukio ya hivyo yamefanywa Sana na CCM Mwaka huu
Umejenga hoja barabara, Mkuu. Asante sana. Hata hivyo, kuna fact check moja ya kuwekwa wazi pia kuna hoja umeiibua inayohitaji mjadala mpana sana hasa kuhusu Ivory Coast na Francophone countries kwa ujumla.Ivory Coast kwa mfano, kabla ya Mapinduzi ya Kijeshi ambayo yalitokea 1999, hii ilikuwa ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika ! Ivory Coast ilikuwa stable kweli kweli tena pengine kuliko Tanzania but we all know nini hatimae kilitokea kwa zaidi ya miaka 10!
Haki huzaa amani. Ni kanuni ya Cause and Effect, hebu na wewe chagua hapo!Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Amani ilisha tangulia muda mrefu, sasa kitambo tunasubiri haki! Ikiendelea kuchelewa Amani itarudi nyuma kuifuata haki!Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Amani ni msingi wa Haki. Unaweza kuwa na haki, lakini ukakosa amani.Je bila Aman Kuna haki inaeza kutendeka maana moja laweza kuchelewa
Kwenye haki amani hutawala , pasipo haki hamna amani.Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Ni kweli Amani haipo siku nyingi kilichopo ni uvumilivu tu, tarehe 28 Taifa likipata Uhuru na HAKI kurejeshwa Amani itarejeshwa automaticAmani ilisha tangulia muda mrefu, sasa kitambo tunasubiri haki! Ikiendelea kuchelewa Amani itarudi nyuma kuifuata haki!
Tanzania hakuna Amani kuna uvumilivu tu maana kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mwingi ni uvunjifu mkubwa wa Amani huoKwenye haki amani hutawala , pasipo haki hamna amani.
Ukiona sehemu kuna amani bila haki, hapo hamna amani ya kweli.
Yakobo 3:18Kwa mujibu wa Biblia inabidi itangulie amani kwanza. Yakobo 3: 18
Haki na amani ni tunu ambazo zinahitaji kuzielezea kwa kuzama, vinginevyo huwezi kupata maana halisi. Zinahitaji kuzama zaidi kwenye kanuni za maadili. Ni kama dhana ya 'healing' na 'cure'. Kuna watu ambao wako healed, but not cured na kuna ambao ni cured, but not healed.Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
IndeedUnapiganaje kutafuta amani wakati kupigana kwenyewe huondoa amani?!
Na hata kama ingekuwa watu wanapigana kutafuta amani, bado pia ulitakiwa kutafuta kwanini walipigana!!
Watu wanapohangaika kutafuta amani kwanza ndipo haki ichukue nafasi ni katika mazingira ambayo tayari amani imeshavurugika, na katika mazingira kama hayo, of course, no peace no justice!!!
Lakini katika nchi kama yetu tunatakiwa kutafuta na kutoa haki kwanza ili tusifikie kupigana kutafuta haki na hatimae kulazimika kutafuta amani kwanza ndipo haki itawale!!
Mababu zetu walipigana Vita Vya Majimaji sio kwa ajili ya kutafuta amani bali kutafuta haki ambayo ilipokonywa na Wajerumani na kuwafanya babu zetu kama viumbe dhalili!!
Kule Nigeria kulitokea vita vya wenyewe kwa wenyewe in the name of Biafra War! Watu wa Biafra hawakuanzisha vita ile kutafuta amani bali walianzisha kupigania kile walichoona kukiukwa kwa haki zao!!!
Enzi za ubaguzi wa rangi kule SA vurugu zilikuwa haziishi!!
Vurugu zile za SA hazikuwa za kutafuta amani bali za kutafuta hakl ambayo iliporwa na makabaru na kuwafanya watu weusi kuwa ni watu wa daraja la chini!!
USA nako kumekuwa zikitokea vurugu! Vurugu zile zinatokana na kile kinachodhaniwa mamlaka kutotenda haki kwa watu weusi na wala sio vurugu za kutafuta amani!!!
Watu wa CCM wamekuwa wakiwaita wale wale wanaowasaidia kwa majina mabaya kama vile Mabeberu! Hasira hizi za wana-CCM bila kujali kama zina mantiki au hapana hazitokani na wao kuamini kwamba Mabeberu wanavuruga amani nchini bali zinatokana na wao kuamini Mabeberu wanaingilia mambo ya ndani ya Tanzania wakati mambo ya ndani ya nchi ni haki ya kimsingi ya any sovereign state!!!
Itoshe tu kusema kwamba, more often than not, ukiona pahala amani imetoweka basi hapo kuna haki ama imeporwa au haitekelezwi!!!
Hata ndani ya nyumba, amani hutoweka pale haki baina ya wanandoa inaposigidwa... ama mwanamke kutotekeleza wajibu kama mwanamke na hivyo kumnyima mumewe haki yake kama mume, au mume kutotekeleza wajibu wake kama mume na hivyo kumnyima mkewe haki yake kama mke!!
HAKUNA AMANI PASIPO NA HAKI, na hata ikiwepo, inakuwa sio amani bai utulivu ulio chini ya mafuta ya petroli ukisubiri cheche ndogo tu ya moto petroli iripuke na utulivu na kuunguzia mbali utulivu!!
Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Yaani shetani atangulie kwanza? Yaani mengine mema pamoja na mungu siyo lazima? Lazima ni shetani CCM?"Atangulie CCM kwanza, hayo mengine siyo lazima Tanzania. Lazima ni CCM"
Yaani shetani atangulie kwanza? Yaani mengine mema pamoja na mungu siyo lazima? Lazima ni shetani CCM?
TUJITEGEMEE,Umejenga hoja barabara, Mkuu. Asante sana. Hata hivyo, kuna fact check moja ya kuwekwa wazi pia kuna hoja umeiibua inayohitaji mjadala mpana sana hasa kuhusu Ivory Coast na Francophone countries kwa ujumla.
Fack check: Ni kweli ilihimizwa hapa nchini watu wafanye kazi, lakini kwa wanasiasia hawakuzuiwa kufanya siasa bali alielekezwa wafanye siasa kwenye majimbo yao ya uchaguzi. Na sababu ilitolewa kuwa baada ya miaka mitano watapimwa kwa siasa walizofanya kwenye majimbo yao.
Kuhusu suala la Ivory Coast: Nchi za Francophone kama ni suala la haki za kitaasisi nchi hizi karibu zote hazina haki taasisi! Kwa sababu nchi hizi hazijapewa haki ya jumla na Ufaransa kama Taasisi/nchi ya kujitegemea kwa uhuru zaidi . Tena kule ndiyo kuna utulivu asilimia 95 na vurugu asilimia tano hakuna chembe ya amani huko! Mfano wa haki ya nchi hizi iliyopokwa na Ufaransa ni mfumo mzima wa uendeshaji wa nchi katika mapato na matumizi ya nchi hizo. Central Banks za nchi hizo ni kama mawakala wa " Central Bank" ya Ufaransa. Kuna kitu kinaitwa " CEFA" ela itumikayo kwenye nchi hizo! Ni Ufaransa inapanga kiasi gani kitumike kwenye nchi fulani! Hapo kuna haki kweli ya kitaasi ya kinchi ambayo ni huru!? Sasa inapotokea, kiongozi wa mzalendo wa kiafrika na akataka kudai haki hii ya kitaasisi kwenye nchi hizo atatungiwa uzushi na kumpaka matope kiasi cha kufanyiwa hujuma hata inayoweza kugharimu maisha yake! Haya tumeyaona Burkina Faso. Walimuua Tomas Sankara wafaransa kwa hujuma kupitia kwa rafiki yake Tomas alikuwa ameibadili Burkina Faso ndani ya miaka minne na kuwa nchi inayoheshimika Barani Afrika na dunia kote! Nakuhakikishia ukifanyika uchunguzi sawa sawa, unaweza kukuta hata Henri Bedie alikuwa anafanya maandalizi ya kudai haki ya kitaasisi ya kinchi kutoka kwa Wafaransa ndiyo maana labda akaundiwa zengwe! Na silaha kubwa inayotumika ni "disinformation" kwa ku assassinate character ya mzalendo!
Ni hayo niliyotaka kukumbusha Mkuu.
Kama haki hakuna bora kinuke tuBinafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.