King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Vipi Ushapata muongozo wa kitakachotokea?Habari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kijamii, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Huyu hawezi kustaafu kuondoka kwake kwenye Urais ni kifo au kupinduliwa
.Atakuja Raisi Muislamu, atafungua fungua uchumi, bidha zitakuwa kemkem na rahisi. Watu wengi watakuwa na hela, uchumi wa watu utapaa. Na tutamsahau kabisa magufuli
MhHuyu hawezi kustaafu kuondoka kwake kwenye Urais ni kifo au kupinduliwa
Nishapata mubasharaVipi Ushapata muongozo wa kitakachotokea?
Cc: Mahandazi
Watu wanajua kutabiri
AshatokaSubiri atoke ndo utajua
Hatimaye madudu yameanza kuibuliwa na CAG.Tutaendelea kama kawaida, maana kama rushwa bado ipo, kama ufisadi bado upo sema shida ni kwamba tofauti na kipindi cha JK bunge haliwezi kuyaongelea, Tanzania imejitoa kwenye uwazi hivyo mikataba siku hizi ni siri hatutakiwi kujua yaliyomo. Vyombo vya habari vimepigwa ganzi hakuna tena ile mijadara ya wazi na uandishi chokonozi.
Utashangaa mambo yatakayoibuka baada ya jamaa kumaliza awamu yake watu wakapata uwezo wa kuanza kuongea. Wale wale waliokuwa wanampamba kikwete aendelee leo hii ndiyo wanasema awamu iliyopita ilikuwa mbovu sana. Kila zama na mfalme wake.
KabisaaSawa Mkuu nadhani mtoa mada kashapata muongozo.
Unasema?Sina uhakika kama hili jiwe linaweza kupasuka vipande vipande[emoji38], atafwata minyao ya m7 nahis, huyu n m7 aliyechangamka[emoji1787][emoji1787]
Rudi mkuu kama umemaliza kula kimasikhara1. Miradi mingi ambayo aliianzisha itasimama
2. Chattle kitabaki kijiji kama zaman tena enzi za nyerer kabisa
3. Uwanja wa chattle utakuwa eneo la kuchezea mpira na matamasha ya dini
4. Viongozi wengi wataonyesha uhslisia wa kipindi cha mzee magufuli..
Ntakuja baadae kidogo.. Naenda kwenye uzi wa kula tunda kimasihara
Amani na upendo wa kweli utarejea na sio hofu na nidhamu za kinafiki. Utawala wa sheria utarejea na sio sheria zinazomfurahisha rais. Ccm itarejea kuwa chama cha siasa, na sio kikundi cha dola kilichojificha kwenye koti la siasa kupitia madaraka ya urais. Uhuru wa vyombo vya habari utarejea na serikali itarudi kuwa ya uwazi. Bunge latarudi kuwa Muhimili unaojitegea na sio hekalu la kumsifia rais na kutii kila atakacho. Mahakama itarejea na kutekeleza wajibu wake wa kutoa haki, na sio kuwa taasisi ya kukosoa wote wasiomsujudia rais. chaguzi za nchi zitarudisha heshima yake, na sio kama sasa kuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Mkuu uliona mbali sanaAtatengua mengi sana ya jiwe kama biden anavyofanya
Kweli kabisa, tena kawahishwaAsipotoka Mungu atamtoa kwa aibu!
Mkuu heshima yako!Kihistoria haijawahi kutokea Rais wa Nchi akapatwa na umauti akiwa madarakani. But ikitokea tutashukuru [emoji24]
Sijambo Mkuu, tupeane pole kwa msiba mzito uliotukuta.Mkuu heshima yako!
Ashatoka
Katiba iliyopo ina mapungufu gani ?Na maisha yanaendelea vizuri sana. Tunahitaji katiba mpya
Umefurahi?Sijambo Mkuu, tupeane pole kwa msiba mzito uliotukuta.
Kwenye maoni yangu nilisema haijawahi kutokea Rais kufikwa na umauti akiwa madarakani, lakini Mungu mwenyewe hujiamulia wapi na lini avune.
Hatimaye kwa mara ya kwanza imetokea, what else should we say?
Apumzike kwa amani😭🙏🙏