David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Mkuu umenena sahihi... Sioni Hali yoyote nzuri huko mbeleni... Ni muda was kujipanga na kuhangaika.Yanayoendelea middle east kwa Sasa ndiyo yatakuja kutoka Africa 20 years to come. It will get even worse than this. Kama unaweza kuwatafutia makazi wanao nje ya hili bara this is the right time. Mark my words!!
Pole Sana MkuuPata picha tu ndio kwanzaaa miezi miwili tu imepita tangu muhula wa pili wa awamu ya tano uanze tayari tushaanza kupoteana sipati picha mwaka mmoja ujao tutakuwaje ase!!
👊👊Ndio maana mnaambiwa jengeni mifumo badala ya personalities. Binadamu tunapita; nchi na mifumo yake hudumu.
Kwenye hili CCM mmekwama completely toka enzi za Mwalimu. Anyway, sio kwa bahati mbaya ila makusudi mazima ili muendelee kutawala kijanja janja. Ila mwisho upo.
Mkuu Kuna ukweli ndani yakeHata nawe Kalamu1 hujui mbinu za madikteta? Kama ni kujibu angemjibu Ndugai. Badala yake Ndugai kapita bila kupingwa. Msema tawire namba moja...
Kwa Kikwete tulisema hili pia.NI Katika Maraisi ambao watasahaulika "KABISA".
Kwani anatakiwa kujiamulia mwenyewe?Kakwambia "atastaafu"?
Na kama kakwambia, unauhakika hakudanganyi?
Kwa Kikwete tulisema hili pia.
Wanaogopa Katiba mpya badala yake wanafanya vitu bila kufuata sheria.Mihemko team at their best.Hata anachofanya polepole kupokea matatizo ya watu kwenye simu channel ten ni utopolo mtupu jengeni mifumo imara itakayosimamia kwa haki sheria na taratibu za nchi kinyume na hapo ni sifa za kijinga mnataka kujipatia.
Kwanza swala la Magufuli kustaafu futa kwenye kichwa chako sema akifa au akipinduliwa maana Magu hana tofauti na Kagame au MuseveniHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Mtu aliyetesa watu itaumiza akistahafu kwa amaniKwanza swala la Magufuli kustaafu futa kwenye kichwa chako sema akifa au akipinduliwa maana Magu hana tofauti na Kagame au Museveni
Kuhusu hali ya Nchi kama ataondoka kwa kifo hali ya Nchi itakuwa shwari tu maana kupata au kukosa tumeshazoea Watanzania ila kama ataondoka kwa kupinduliwa kutakuwa na machafuko kidogo na hali ya maisha itarejea kama kawaida
Huyu hawezi kustaafu kuondoka kwake kwenye Urais ni kifo au kupinduliwaMtu aliyetesa watu itaumiza akistahafu kwa amani
Kaka hapa kwenye Mkopo ni heri ukanyamaza tu maana kuna vitu haviko sawa kabisa,hili la Daktari aliyemaliza masomo akapata kazi Private sector sidhani km kuna ubaya,provided yupo ndani ya Tanzania na anawahudumia Watanzania, na kwa upande mwingine hata Bodi ya mikopo itanufaika zaidi kutokana na makato ya Mshahara wake "mnono"maana mkopo unakatwa 15% ya mshahara ghafi hii itasaidia wengine wanaosubiri kupata Mkopo!Sioni hata cha ajabu kaongea, ni common sense.
Umechukua mkopo tukakupa ukaenda kusoma udaktari ili ukimaliza uhudumie wananchi we unaenda binafsi kwa ajili ya maslahi si ungeenda akusomeshe huyo mwekezaji.
Ni ukweli mchungu.
Nasema uwongo jamani?
Sijui kama umeuliza hili swali ukitaka kupata jibu!Kwani anatakiwa kujiamulia mwenyewe?
Kama ana huo mpango wa kutokaSubiri atoke ndo utajua
Hili nilikuwa na mpango wa kulianzishia mada yake ya kipekee kabisa. Ikitokea kwa sababu yoyote ile kutoka, hilo litakuwa ni jambo bora zaidi alilobakiwa kuwa nalo akilitimiza. Sioni kama kuna lingine lolote atakaloweza kulifanya linaloweza kuwa bora zaidi ya hilo katika uongozi wake wote.Ana hulka zote za kidikteta na ulevi wa madaraka. Ikitokea akakubali kweli kuiheshimu Katiba, basi tutatakiwa kufanya sherehe kila mtu kwa nafasi yake.
Hauna adabu kabisa wewe hivi ndio mlitaka mpewe nchi na matusi haya?Tumeweka mfumo imara kumtatua marinda bimdashi wako
Chato itarudi kua kijiji kama ivyokua na majengo yatakua magofu kama kule kalemii baada ya MobutuHabari wadau wa JF siasa.
Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?
Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?