Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

Magufuli anapaswa kwenda jela baada ya 2025, hawezi kufanya Uhalifu mkubwa hivi dhidi ya raia halaf aachwe tu akakae Chato, stahili yake ni jela period!
Amesema ataenda zake kuishi Karagwe, akafuge mifugo
 
Habari wadau wa JF siasa.

Nimekuwa nikiwaza Sana sura ya nchi na hali ya nchi hii baada ya Rais Magufuli kumaliza mihula yake miwili. Je nchi itakuwaje kirushwa na kifisadi, kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo nk?

Ajaye atakuwaje na atatupeleka wapi na jamii ya Kitanzania kipindi hicho kitakuwaje?
Dunia inaendelea kuwepo maisha yamekuwa yakiendelea hata watu wazuri sana walipoondoka duniani.
 
Ndio maana mnaambiwa jengeni mifumo badala ya personalities. Binadamu tunapita; nchi na mifumo yake hudumu.

Kwenye hili CCM mmekwama completely toka enzi za Mwalimu. Anyway, sio kwa bahati mbaya ila makusudi mazima ili muendelee kutawala kijanja janja. Ila mwisho upo.
Wanajuaw wakiweka mifumo, yeyote aweza kuendesha nchi, hata dereva bajaj, ndiyo maana hawataki, wanaweka personalities.
Katiba, sheria sijui taratibu siyo muhimu, muhimu ni mtu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hapana bado hajaolewa, kwa fame yao lazima ingetangazwa au kuandikwa humu kama ilivyotokea wakati ule amepata division 4 na bado amechaguliwa kusoma bachelor degree Udom
Kaolewa na Mbunge fulani bunge lilopita, ilikuwa harusi ya kimyakmya na hakukuwa na sherehe yoyote. Magufuli aliwahi kuvujisha hii Siri.
 
Bungua, swali langu kwako na kwa unyenyekevu mkubwa naomba ukijibu.
' sisi opposition mpaka sasa tunayo dawa ya kipigo cha uchaguzi pindi uchaguzi mwingine ukiitishwa tena? Jitahidi uwe na muono halisi.
Mimi niulize tu si lazima ujidangaje kwa kujifanya mpinzani. Labda uwe pseudo opposition! Katiba ndio mbaya. Wote tunajua ni mbaya. Hata na Jiwe anajua ni mbaya. Hata waliomtangulia walijua hivyo. Nyerere aliisemea na hasa madaraka makubwa mno ya rais. Alisema akiingia kichaa atakuwa dikteta. Tayari kichaa yupo!
 
Back
Top Bottom