Sticky_fingers
Member
- Jul 30, 2018
- 49
- 42
Habari zenu tena.
Kama kichwa cha uzi kisemavyo, nini kitatokea endapo dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na kulizunguka jua ghafla na kutulia tuli, nini kitatokea? Wale wajuao in advance, please share nasi!
Hili ni swali la kufikirika tu maana wanasayansi wanasema hiyo kutokea ni possibility ndogo sana, hivyo ni ENDAPO ITATOKEA.
Kama kichwa cha uzi kisemavyo, nini kitatokea endapo dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na kulizunguka jua ghafla na kutulia tuli, nini kitatokea? Wale wajuao in advance, please share nasi!
Hili ni swali la kufikirika tu maana wanasayansi wanasema hiyo kutokea ni possibility ndogo sana, hivyo ni ENDAPO ITATOKEA.