Nini kitatokea endapo Dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na pia endapo itaacha kulizunguka jua?

Nini kitatokea endapo Dunia itaacha kujizungusha ktk mhimili wake na pia endapo itaacha kulizunguka jua?

Hata dunia ina radioactive elements za kutosha tu,ndo hzo wanazitumia kutengeneza energy,mabom,umeme n.k

Jua ni component ya solar system.so elements zake zilizotengeneza jua znafanana na bodies zingne za kwwnye solar system..so hakuna cha ajab,wanascience wana proven mbinu za kugundua hilo,watu wanapima cosmic dust znazoanguka kila dunian,zingne znatoka kwwenye jua.

Kiongoz.science imefika mbal sana,..siwez elezea mambo mengne hapa hayata tosha na unaeza usinielew
Nimekusoma mkuu..
 
Back
Top Bottom