fungi6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 287
- 266
Tukiachana na layer na sifa zake kwa kuongezeka joto kadri mtu unavyo zidi teremka chini ya ardhi
Layer zenyewe zikiwa zinajulikana kama,
-mantle(2)
-crust(1)
-core(3)
Je unaisi itakuaje mtu akichimba shimo kutoka pande moja ya dunia shimo litokee upande wapili je akiruka kudumbukia kutoka point A atatokaje kwenye point B???
Jje unajua kulingana na iyo picha apo juu mtu ataweza kutoka
>new york kutokea london ndani ya dk 42
>tokyo to Montreal ndani ya dk 42
>dublin kwenda Sydney dk 42
Nb: japo nchi nyingi zitatokea baarini
Wazungu wenzetu wameanza iki kitu wakitaka toboa izo sehemu sizani kama itawezekana ila naisi akiikomalia i kazi ktu kama Elon Musk basi litaeza wezekana
Ila mimi binafsi bado siamini kama dunia ni mduara embu waza ilo shimo ukiruka unatokeaje upande wa pili?
Je atatokea kama eruption akitupwa juu mbali angani afu arudi tena ardini au?
Layer zenyewe zikiwa zinajulikana kama,
-mantle(2)
-crust(1)
-core(3)
Je unaisi itakuaje mtu akichimba shimo kutoka pande moja ya dunia shimo litokee upande wapili je akiruka kudumbukia kutoka point A atatokaje kwenye point B???
Jje unajua kulingana na iyo picha apo juu mtu ataweza kutoka
>new york kutokea london ndani ya dk 42
>tokyo to Montreal ndani ya dk 42
>dublin kwenda Sydney dk 42
Nb: japo nchi nyingi zitatokea baarini
Wazungu wenzetu wameanza iki kitu wakitaka toboa izo sehemu sizani kama itawezekana ila naisi akiikomalia i kazi ktu kama Elon Musk basi litaeza wezekana
Ila mimi binafsi bado siamini kama dunia ni mduara embu waza ilo shimo ukiruka unatokeaje upande wa pili?
Je atatokea kama eruption akitupwa juu mbali angani afu arudi tena ardini au?