Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Hivi unajua kwamba sayansi imechunguza sana na kujua anga kuliko inavyojua chini ya bahari? Yani mwanadamau haelewi maeneo mengi ya chini ya bahari kama anavyoelewa anga...But akuna kisicho shindikana duniani balikimoja tu kumpa mtu uhai ili ndo gumu but trust me ata miaka 5000 iliyopita watu waliamini akuna kitu kinaeza chunguza anga la mbali lets make it simple i kitu ni physically how can it be impossible?? Unazani ndai joto nikali kuliko litengenezwalo na jua?
Sijaku argue nataka tu tuwaze wote kua it possible.....if we ill be serious