- Thread starter
- #21
hatari ya kutokua na vyanzo vya kutosha vya pesa kwa chama cha siasa, kwa mfano mpaka sasa hivi vingekua tayari vimeingiza fedha, mathalani kutoka kwa marafiki au mabwenyenye ya magharibi au America kinyemela, huenda pasingekua na shida 🐒
..kampeni za wapinzani huwa zinatia simanzi sana kutokana na ukosefu wa fedha.