JokaKuu ishu kuu hapa sio fedha.....
Kusema hivi haina maana kuwa fedha si nyenzo muhimu katika uchaguzi...
CCM hutumia fedha nyingi kama hadaa tu lakini hawa hata kama watumie bajeti yote ya 2024/2025 hawana ushawishi wowote wa kisera na mipango kwa wananchi...
Fedha zao zote hutumika kuandaa matamasha wanayoyaita "kampeni za uchaguzi" huku ukweli ukiwa kuwa hayo huwa ni matamasha ya burudani tu kwa sababu CCM wanajua kuwa kwa ujinga wa watanzania hicho ndicho wanachokihitaji...!
=============================================
Hebu cheki hii..
Kampeni za mwaka 2015 zilikuwa za fedha nyingi sana kwa CCM lakini CHADEMA hawakuwa na fedha kufikia hata robo tu kulinganisha na za CCM lakini bado CCM hii hii ilipigwa kwenye sanduku la kura na mgombea wa CHADEMA ndugu Edward Lowassa.. HAKUTANGAZWA MSHINDI, AKATANGAZWA ALIYESHINDWA John P. Magufuli....!!
Ndivyo ilivyokuwa kule Zanzibar mpaka...
HUKO ZANZIBAR, jamaa kwa makusudi kabisa wakafuta matokeo yote ya uchaguzi baada ya kugundua kuwa Dokta Mohammed Shein (CCM) kapigwa na hayati Maalim Seif Shariff Hamad (CUF)....!!
HIYO IKAPITA. Ukaja uchaguzi wa 2019 na 2020. Kama kawa, CCM wanajua fedha sio kigezo cha kushinda uchaguzi kwa Tanzania. CCM walikuwa na fedha zote kwa kadiri ya mahitaji yao. Wakatajirika kupitia fedha hizo...
CHADEMA na Tundu Lissu hawakuwa hata na robo ya fedha za CCM. Angalia kampeni zao. Watu walikuwa wanakuja wenyewe kwa maelfu na wakampa Tundu Lissu kura kama zote.
TUNDU LISSU HAKUTANGAZWA...!!
Jamaa Magufuli na CCM yake kuona hivyo kuwa ameshalizwa kwenye sanduku la kura, wakapora uchaguzi wote. Akajitangaza kwa nguvu kuwa ndiye mshindi na sasa yuko kaburini, anatawala walio makaburini....!
Kuna Chawa anaitwa
Etwege najua anachukia kweli ukimtaja Magufuli kwa mtazamo huu[emoji1318][emoji1318]. Shauri lake. Akitaka amfuate huko aliko, lakini ukweli juu ya historia ya Magufuli wake ndivyo ilivyo na ulivyo...
Mpaka leo hakuna kura za u - Rais ambazo ziko gazzeted kuonesha Magufuli na CCM walipata ngapi kwa kila jimbo kama sheria inavyotaka kutangazwa kwa kura hizo...
Why?
The anaswer is very simple........... Ni kwa sababu walivuruga vuruga kila kitu hata wakapoteana wao kwa wao kiasi cha hesabu kugoma hata kughushika...!!
Hata zile za ubunge na udiwani zote ni utopolo tu. Hakuna aliyeshinda na leo hii kila mtu na kila Mtazanzania analipia uovu na ujinga wa CCM na Magufuli wao.....
The issue here is not about money. Hata bila fedha nyingi kama za CCM CHADEMA watafanya kampeni all over the country kama ilivyofanyika miaka yote ya nyuma....
Kwa sababu CHADEMA kila mwananchi ni wakala wake ktk kampeni. Wananchi tutafanya kampeni kuanzia kwenye familia zetu, mtaani kwetu na tutaeleweka kirahisi....
TANU ya Nyerere haikufanikiwa kupambania uhuru wa Tanganyika kwa sababu ilikuwa na fedha. They had nothing in their pockets lakini mioyo ya watu ilielewa malengo ya TANU. Mkoloni akaondoka....
NDIVYO ILIVYO LEO KWA CHADEMA. Watu wakishaelewa madhara ya kukumbatia mkoloni mweusi CCM, hakuna fedha ya kuzuia mabadiliko na uhuru wa wananchi...!
Ukifika wakati wa CCM kutoweka ktk uso wa nchi ya Tanganyika, na wakati huo tayari umeshafika, basi hakuna kiwango cha fedha kinachoweza kusaidia uwepo wao kuendelea ku - exist ....!!