- Thread starter
- #41
..Lowassa alikuwa na fedha lakini mgonjwa.2015 Chadema walikua na pesa nyingi za mgombea binafsi Lowassa zilikuwa sawa tu na za CCM nini kilitokea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..Lowassa alikuwa na fedha lakini mgonjwa.2015 Chadema walikua na pesa nyingi za mgombea binafsi Lowassa zilikuwa sawa tu na za CCM nini kilitokea!
Majibu kwa hoja zako ni rahisi:..sijui kama wachambuzi wa siasa na chaguzi zetu wameangazia vya kutosha suala la FEDHA na RASILIMALI wanazokuwa nazo CCM wakati wa kampeni.
..vyama vya upinzani siku zote vimekuwa vikifanya kampeni kwa kuunga-unga na kuzidiwa kwa kiwango kikubwa na CCM.
..sasa sijui mazingira hayo yanachangia kwa kiwango gani[ asilimia ngapi] kushindwa kwa vyama vya upinzani ktk mapambano yao dhidi ya CCM.
..hivyo basi nimewaza kuhusu uchaguzi wa 2025. Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha upinzani kitakuwa na kiwango sawa cha fedha walizonazo CCM? Je, mazingira hayo yatachangia kwa kiwango gani kupata matokeo mazuri zaidi ya tuliyoyazoea?
Nimekubali uliyo sema kwenye jibu lako, ila hili nililo nyanyua hapa.Swali lako lilipaswa kukaa hivi. Hivi ikitokea tukapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, Upinzani wanaweza kuaminiwa na kupewa nchi waiongoze? Hilo ndio lilipaswa kuwa swali.
Unakumbuka Lowasa alivyotia timu? Tena akiwa dhohofu. Vipi angekuwa timamu?Sijui kama wachambuzi wa siasa na chaguzi zetu wameangazia vya kutosha suala la FEDHA na RASILIMALI wanazokuwa nazo CCM wakati wa kampeni.
Vyama vya Upinzani siku zote vimekuwa vikifanya kampeni kwa kuunga-unga na kuzidiwa kwa kiwango kikubwa na CCM.
Sasa sijui mazingira hayo yanachangia kwa kiwango gani[ asilimia ngapi] kushindwa kwa vyama vya upinzani ktk mapambano yao dhidi ya CCM.
Hivyo basi nimewaza kuhusu uchaguzi wa 2025. Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha upinzani kitakuwa na kiwango sawa cha fedha walizonazo CCM? Je, mazingira hayo yatachangia kwa kiwango gani kupata matokeo mazuri zaidi ya tuliyoyazoea?
Ni ngumu kuliko unavyo jatibu kufikiri. Shida inakuja hata kama mmeshinda na hesabu za vituo mnazo. Mkurugenzi anamtangaza mgombea wa ccm kashinda. Tena anamtangaza usikj wa manane. Hapo hapo polisi ambao wanakuwa tayari wameandaliwa wanafyatua mabomj ya machozi na bakora za kutosha. Watu wanasambaratika. Ndio imeisha hiuo.Nimekubali uliyo sema kwenye jibu lako, ila hili nililo nyanyua hapa.
WaTanzania sasa hatuwezi kutegemea uwepo/kutokuwepo kwa "Katiba Mpya tena"kuwafungasha vilago CCM.
Ni jukumu letu kuhakikisha kwamba kura tutakazo piga ni kura zitakazo hesabika na kumchagua kiongozi yeyote tunayemtaka atuongoze.
Uwezo wa kuhakikisha hilo linatokea wananchi tunao sana, kinacho kosekana ni mpangilio wa kulitimiza hilo bila ya kumwogopa mtu yeyote yule.
Je, CHADEMA wanaweza kutupanga tuifanye hii kazi vizuri?
Alipeperusha bendera ya chadema sio ya lowassa!..Lowassa alikuwa na fedha lakini mgonjwa.
Chadema walizidiwa na serikali na idara zao nyeti2015 Chadema walikua na pesa nyingi za mgombea binafsi Lowassa zilikuwa sawa tu na za CCM nini kilitokea!
Nyerere aliwahi kusema hivi.
"Upinzani wa kweli utatoka Ndani ya CCM"
Swali lako kwa maana nyingine unauliza CCM inaweza kufirisika? Jibu ni hapana as long as long hakuna nguvu ya kijeshi au armed resistance.
Mfumo uliopo unaipa CCM nguvu ya kumiliki chochote Tanzania hata hivyo vyama vya Upinzani inaweza kuvinunua
Issue sio CCM au Upinzani issue ni mfumo Ndio unawapa Watu walioko ndani ya CCM kuwa na nguvu...Wapinzani wakiweza kusimamisha wagombea kila sehemu.
..Wapinzani wakifanya mikutano ya kampeni mingi kupita Ccm.
..Wapinzani wakiweza kuweka mawakala kila kituo nchi nzima na kuwalipa.
..Wapinzani wakiweza kugawa t-shirt na kofia nyingi kuliko Ccm.
..Je, matokeo yatakuwa tofauti na tulivyozoea?
Mkuu 'Ziroseventytwo', nikupe pongezi nyingi kwa jibu lako hili.Ni ngumu kuliko unavyo jatibu kufikiri. Shida inakuja hata kama mmeshinda na hesabu za vituo mnazo. Mkurugenzi anamtangaza mgombea wa ccm kashinda. Tena anamtangaza usikj wa manane. Hapo hapo polisi ambao wanakuwa tayari wameandaliwa wanafyatua mabomj ya machozi na bakora za kutosha. Watu wanasambaratika. Ndio imeisha hiuo.
Mnaanza kufungua kesi za kupinga matokeo. Kesi inaendeshwa kwa miaka mi3.
Mkuu 'Stormryder' mchango wako mzuri, lakini sikubaliani nao. Hakuna mfumo unaoweza kushinda adhma ya wananchi popote pale.Issue sio CCM au Upinzani issue ni mfumo Ndio unawapa Watu walioko ndani ya CCM kuwa na nguvu.
Mfano Muangalie mtu nobody kama Samia alivokuwa na Nguvu baada ya kuwa CCM.
Mifumo yote ya Dola inaipa nguvu CCM.
Watu wenyewe, Jeshi na Kamati kuu ya CCM Ndio inaweza kubadili Hali yetu ya Kisiasa na lazima kuwe na coordination ya Hali ya juu ya hivo vitu vitatu, refer to Zimbabwe
Mkuu 'Ziroseventytwo', nikupe pongezi nyingi kwa jibu lako hili.
Na kwa dhati ya moyo wangu wote, nakuomba tulijadili hili kwa undani wake kamili, kwa sababu najuwa inawezekana kabisa kukomesha haya unayozungumzia wewe hapa.
Sasa tufanyeje, tuweke mada inayojitegemea kujadili njia zinazoweza kutumiwa na wananchi kuzima uharibifu wa kura zao wakati wa uchaguzi, au tuendeleze mjadala huo hapahapa?
Mimi ningependa pawe na mada inayo jitegemea yenyewe kuhusu hili.
Naomba na wachangiaji wengine watoe maoni kuhusu hili.
Nipe mrejesho haraka tuianze kazi hii.
Mkuu 'JokaKuu' nimemwona akiambaa ambaa sehemu, hebu toa ushauri tufanye nini hapa.
Watakaoleta mapinduzi ndani ya Tz siyo CCM wala CDM au ATC, siku ya mapinduzi ikifika hatokuwepo mwenye hela, mwenye jeshi au sera gani sijui. Siku tukifika na wenye nchi wakisema imetosha, basi ....., usiulize itakuwa lini.Sijui kama wachambuzi wa siasa na chaguzi zetu wameangazia vya kutosha suala la FEDHA na RASILIMALI wanazokuwa nazo CCM wakati wa kampeni.
Vyama vya Upinzani siku zote vimekuwa vikifanya kampeni kwa kuunga-unga na kuzidiwa kwa kiwango kikubwa na CCM.
Sasa sijui mazingira hayo yanachangia kwa kiwango gani[ asilimia ngapi] kushindwa kwa vyama vya upinzani ktk mapambano yao dhidi ya CCM.
Hivyo basi nimewaza kuhusu uchaguzi wa 2025. Nini kitatokea ikiwa chama kimojawapo cha upinzani kitakuwa na kiwango sawa cha fedha walizonazo CCM? Je, mazingira hayo yatachangia kwa kiwango gani kupata matokeo mazuri zaidi ya tuliyoyazoea?
Haitoshi, kama ni swala la kulipwa tu. CCM wanyo mahela chungu nzima ya kuwanunua wote hao. Ni lazima hao "wakala" wawe na kitu cha ziada. Hili ndilo CHADEMA wangekuwa wanalifanyia kazi kwa makini sana wakati huu.1. wakala wa upinzani ktk kila kituo, na alipwe.
Walisha jaribu hili likavurugwa. Huko Kenya Raila alijaribu mara kadhaa likavurugwa. Wakiamua kuliendeleza wawe tayari kulijengea uimara lisivurugwe.2. Mfumo independent wa wapinzani kukusanya, na kujumlisha, matokeo
Hapa tulipo fikia kabla ya uchaguzi kuanza, utaratibu huu utaingizwa vipi kwenye mipango ya chaguzi hizi? Ni wazo zuri; lakini CCM wapo tayari kulikubali? Watafanya kila mbinu kulihujumu. Kisheria halipo mahali popote katika taratibu za uchaguzi.3. waangalizi huru wa uchaguzi, kwa mfano taasisi za kidini, NGOs, ktk kila kituo.
kama hili ndilo tatizo, na ninakubali ni tatizo. Wakati ni sasa tukune vichwa vyetu kuchangia njia za kuliondoa hili. Na njia ninayo iona mhimiri wake ni wananchi wenyewe waliopania kuzuia uharibifu huo.Tatizo ninaloliona ni kukosekana kwa UWAZI ktk kuhesabu kura, na kutangaza matokeo.
unaikumbuka Arab spring, ikumbuke Philino enzi ya Corazon Aquino na mumewe, etc etc1. wakala wa upinzani ktk kila kituo, na alipwe.
2. Mfumo independent wa wapinzani kukusanya, na kujumlisha, matokeo.
3. waangalizi huru wa uchaguzi, kwa mfano taasisi za kidini, NGOs, ktk kila kituo.
Tatizo ninaloliona ni kukosekana kwa UWAZI ktk kuhesabu kura, na kutangaza matokeo.
makamu mwenyekiti wa chama chenu cha wachaga anachangisha upatu kununua gari pesa ya uchaguzi mtoe wapi? M/kiti wa maisha mboye pesa aliyohongwa kishaimalizia kwenye konyagiTuko mbioni kuizidi ccm hela za Kampeni
Haitoshi, kama ni swala la kulipwa tu. CCM wanyo mahela chungu nzima ya kuwanunua wote hao. Ni lazima hao "wakala" wawe na kitu cha ziada. Hili ndilo CHADEMA wangekuwa wanalifanyia kazi kwa makini sana wakati huu.
Walisha jaribu hili likavurugwa. Huko Kenya Raila alijaribu mara kadhaa likavurugwa. Wakiamua kuliendeleza wawe tayari kulijengea uimara lisivurugwe.
Kisheria, sijui kama linakubalika.
Hapa tulipo fikia kabla ya uchaguzi kuanza, utaratibu huu utaingizwa vipi kwenye mipango ya chaguzi hizi? Ni wazo zuri; lakini CCM wapo tayari kulikubali? Watafanya kila mbinu kulihujumu. Kisheria halipo mahali popote katika taratibu za uchaguzi.
kama hili ndilo tatizo, na ninakubali ni tatizo. Wakati ni sasa tukune vichwa vyetu kuchangia njia za kuliondoa hili. Na njia ninayo iona mhimiri wake ni wananchi wenyewe waliopania kuzuia uharibifu huo.
TATIZO: "KUKOSEKANA KWA UWAZI KTK KUHESABU KURA,..." NA KUTANGAZA MATOKEO (kutangaza matokeo ni rahisi kudhibiti)