Nikushauri tu, kabla hata hujafungua au kukalia kiti cha hiyo gari, naomba urudi driving school, kabla hauja luck vicent, na watu wakapotea na rambi rambi ya msiba wako.Wadau nimezoea kuendesha gari zenye alama ya P-R-N-D-L-2 kwenye gear. Sasa majuzi nimenunua kigari cha Allteza baada ya mambo kubana sana. Pale kwenye D wameongeza D-3 naomba kujua hio 3 ni ya nini na matumizi yake ni ipi. Hako kajamaa Kana CC 2000 yaani 6 cylinder.
Ina tatizo gani kwani? Nimeendesha gari za aina nyingi tu kuanzia GX 100 mpaka 110. IST. RAV4. Colora. Starlet nk nk . I have got almost 20 yrs of driving experience ya mjini na Highways kwa vile nazunguka Sana . Nilichokiona zaidi ni wepesi wa gari tu sijui kama kuna kingine. Speed inayo yes but sioni tofauti na GX labda kama kuna la zaidi nielimishe kwa uwazi mdau.Nikushauri tu, kabla hata hujafungua au kukalia kiti cha hiyo gari, naomba urudi driving school, kabla hauja luck vicent, na watu wakapotea na rambi rambi ya msiba wako.
Nyie ndio mnao tusababishia ajali kila siku hebu nenda kasome udereva na sheria za barabarani kwanzaWadau nimezoea kuendesha gari zenye alama ya P-R-N-D-L-2 kwenye gear. Sasa majuzi nimenunua kigari cha Allteza baada ya mambo kubana sana. Pale kwenye D wameongeza D-3 naomba kujua hio 3 ni ya nini na matumizi yake ni ipi. Hako kajamaa Kana CC 2000 yaani 6 cylinder.
Wewe inawezekana hata gari huna na unajishaua tu hapa hivi kweli uwe umeendesha magar kwa kipind hicho ulicho taja halafu uwe hujui mtumizi ya hivyo uliza?????? Asee uongo unahitaji kumbukumbuIna tatizo gani kwani? Nimeendesha gari za aina nyingi tu kuanzia GX 100 mpaka 110. IST. RAV4. Colora. Starlet nk nk . I have got almost 20 yrs of driving experience ya mjini na Highways kwa vile nazunguka Sana . Nilichokiona zaidi ni wepesi wa gari tu sijui kama kuna kingine. Speed inayo yes but sioni tofauti na GX labda kama kuna la zaidi nielimishe kwa uwazi mdau.
Mengine huwa tunajiongeza tu. Chukulia as if unadrive a manual car;
L- Low ama gia namba 1
2- gia namba 2
3- gia namba 3 -> i)waweza itumia katika kupandisha milima ambayo siyo mikali sana katika spidi flani ambayo wafikiri ukiweka auto itajichenji kwenda kwenye high gia na kuishiwa nguvu.
->ii)kwa wale wa high speed drifting waweza tumia pia hii gia.
D- inamaliza gia zote
Wadau nimezoea kuendesha gari zenye alama ya P-R-N-D-L-2 kwenye gear. Sasa majuzi nimenunua kigari cha Allteza baada ya mambo kubana sana. Pale kwenye D wameongeza D-3 naomba kujua hio 3 ni ya nini na matumizi yake ni ipi. Hako kajamaa Kana CC 2000 yaani 6 cylinder.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba anuani yako just in case utakuja kujiua. Mimi hobby yangu kubwa ni kula misibani na watu tofauti tofauti huku tukipiga story za marehemu.
Teh teh sawa mkuu basi jibu swali tu achana na hayo mengine. Vile hatujuani physically let's assume ni kweli usemayo. Basi ingia kwenye mada tu najua tupo wengi humu hatujui.Wewe inawezekana hata gari huna na unajishaua tu hapa hivi kweli uwe umeendesha magar kwa kipind hicho ulicho taja halafu uwe hujui mtumizi ya hivyo uliza?????? Asee uongo unahitaji kumbukumbu
Pole mkuu ndio nasogea taratibu kwenye boda boda. Huwezi jua kesho naweza tajwa kwenye vyeti fake ha ha haaaa! Lakini sincerely nimeuliza kutaka kujua ingawa naona kuna watu wanataka kubadili mada.Khaa! Yan umenunua Tezza baada ya mambo kubana sana? Wengine tumenunua boda boda mkuu. Hongera sana. Angalau wewe bado unapumua kiuchumi, wengine tuko ICU!
Daah mkuu nisije nikala wali maharage kwako kabla yangu! Tupeane anuani tu. Mengine mungu anajua.Naomba anuani yako just in case utakuja kujiua. Mimi hobby yangu kubwa ni kula misibani na watu tofauti tofauti huku tukipiga story za marehemu.
Khaa! Yan umenunua Tezza baada ya mambo kubana sana? Wengine tumenunua boda boda mkuu. Hongera sana. Angalau wewe bado unapumua kiuchumi, wengine tuko ICU!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134]Naomba anuani yako just in case utakuja kujiua. Mimi hobby yangu kubwa ni kula misibani na watu tofauti tofauti huku tukipiga story za marehemu.
Mkuu shukrani Sana wewe umeeleewa na kujibu short and clear. Hao wala rambi rambi watasubiri Sana tu!Rambirambi zimetajwa hapa naona maccm masikio yamewasimama wanasikilizia!!!!!
Hiyo D-3 ina maanisha automatically transmission haitapita gear namba 3.
Hata ukanyage pedal ya mafuta mpaka kwenye kibati.
Pamoja sana mkuu.Mkuu shukrani Sana wewe umeeleewa na kujibu short and clear. Hao wala rambi rambi watasubiri Sana tu!
Miaka 20 unaendesha gari mjini na kwenye highways (ambazo bongo hakuna meaning umeenda nchi za watu) halafu hujawahi kutana na hizo alama!!..soo AMAZING!Ina tatizo gani kwani? Nimeendesha gari za aina nyingi tu kuanzia GX 100 mpaka 110. IST. RAV4. Colora. Starlet nk nk . I have got almost 20 yrs of driving experience ya mjini na Highways kwa vile nazunguka Sana . Nilichokiona zaidi ni wepesi wa gari tu sijui kama kuna kingine. Speed inayo yes but sioni tofauti na GX labda kama kuna la zaidi nielimishe kwa uwazi mdau.
Kumbe hauna sababu ya msingi ya kuleta hii hapaIna tatizo gani kwani? Nimeendesha gari za aina nyingi tu kuanzia GX 100 mpaka 110. IST. RAV4. Colora. Starlet nk nk . I have got almost 20 yrs of driving experience ya mjini na Highways kwa vile nazunguka Sana . Nilichokiona zaidi ni wepesi wa gari tu sijui kama kuna kingine. Speed inayo yes but sioni tofauti na GX labda kama kuna la zaidi nielimishe kwa uwazi mdau.