LUPITUKO
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 279
- 184
- Thread starter
- #21
Acha wivu kenge wewe. Sio gari zote zinaalama hio niliouliza. May be huna gari or unabahati ulinunua yenye alama hio moja kwa moja. Wabongo acheni kukuza mambo madogo ili muonekane you know how to crush other people. Kwani ungejibu tu au kupita kimya kimya ungepungukiwa na nini? Manual book zenyewe zinaandikwa kijapan I am sure tupo wengi tu hatujui humu. More so mi nakushauri usimdharau mtu ambae humjui. Pengine tukikutana live unaweza kua shamba boy wangu tu.Miaka 20 unaendesha gari mjini na kwenye highways (ambazo bongo hakuna meaning umeenda nchi za watu) halafu hujawahi kutana na hizo alama!!..soo AMAZING!
stupidity is not a crime tho!.