baba_la_kichaga
Senior Member
- May 15, 2017
- 127
- 54
D-3 maana yake ukiendesha hiyo kwenye kubadilisha gear hazidi gear no 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua DK 5 mbele sio bure. Or ulizaliwa na mama aliebakwa!Hili nalo swali unaleta JF?????
Haya sasa tumekujua una gari
100%[emoji2] [emoji2] [emoji2]Nikushauri tu, kabla hata hujafungua au kukalia kiti cha hiyo gari, naomba urudi driving school, kabla hauja luck vicent, na watu wakapotea na rambi rambi ya msiba wako.
Bado sanaMkuu hizi altezza kuna ambazo ni manual at the same time ni automatic.Hizi za manual ziko hivi P-R-N -D-M-L3-L2 sasa ukitaka kuendeshea Manual unaweka kwenye M then unaongezea kwa kupunguzia kwenye usukani kutoka 4-2 hizi ni nzuri sana wakati wa mvua na hiz barabara zetu ukiweka M then 2 unapita barabara zote. "
Naomba anuani yako just in case utakuja kujiua. Mimi hobby yangu kubwa ni kula misibani na watu tofauti tofauti huku tukipiga story za marehemu.
Mkuu shukrani Sana wewe umeeleewa na kujibu short and clear. Hao wala rambi rambi watasubiri Sana tu!
Mwenzio mwenye akili ya ngamia kama wewe Jana tu nimemweleza kwa kirefu Sana kuwa ni punguani tu anaweza kuwaza kua kuuliza swali JF ni kujishaua bcoz humu hatujuani who is who or kama mpo wachache mnaojuana that's gud mnaweza kukogana humu. But binafsi simjui mtu hata 1 humu and I am sure no body knows me too. Sasa nitakujaje kujishaua humu jamani hii sio akili ya kingese kweli? Kuna FB kuna What'sapp group's kuna Instagram why nisiende huko kuuliza hili swali kwa lengo la kukoga watu pia. After all hivi Allteza ni gari ya kukoga watu kweli.Hili nalo swali unaleta JF?????
Haya sasa tumekujua una gari
I like youMwenzio mwenye akili ya ngamia kama wewe Jana tu nimemweleza kwa kirefu Sana kuwa ni punguani tu anaweza kuwaza kua kuuliza swali JF ni kujishaua bcoz humu hatujuani who is who or kama mpo wachache mnaojuana that's gud mnaweza kukogana humu. But binafsi simjui mtu hata 1 humu and I am sure no body knows me too. Sasa nitakujaje kujishaua humu jamani hii sio akili ya kingese kweli? Kuna FB kuna What'sapp group's kuna Instagram why nisiende huko kuuliza hili swali kwa lengo la kukoga watu pia. After all hivi Allteza ni gari ya kukoga watu kweli.
Kwa wale JF tulioanza nayo wakati inaanzishwa nadhani wengi wao watakua wametoka. Tumevamiwa na watu wako inclined kutukana au kukashifu tu hata kwa jambo jema
Hili suala la D-3 mbona ni dogo tu ni kujibu na kupita zako kwani lazima utukane au kashfa?
May be wewe huna gari but sio kosa lako muda ukifika utapata tu ila ujue magari yote hayako sawa. Na sio gari zote zina hio D-3 that's why I asked. Na kwa kweli nimepata somo kubwa kabisa bcoz hata matumizi halisi ya L na 2 sikuyajua vizuri kitaalamu though naendesha gari miaka mingi but for me P-R-N-D was enough.
Pole sana bwana mdogo nadhan unafikir kuwa humu wote tunasubiri kupangiwa shule za kwenda form five eti!? Au unadhan wote tunasubiri NACTE wafungue usajili eena wewe acha mbwembwe utafikiri dereva kweli kuja uendeshe scania gear 16 ,muone kwanza
Mie ninayo mpaka PhD lakini nipo kolomije na wala sio Darna members wote wana degree na wanaishi Dar
mambo ya form five sijui nacte yamefikaje bibie, mwenzio kaomba msaada msaidiePole sana bwana mdogo nadhan unafikir kuwa humu wote tunasubiri kupangiwa shule za kwenda form five eti!? Au unadhan wote tunasubiri NACTE wafungue usajili ee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134]
NachekaaUnalia tena?