Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mtaalamu sana ila hapo gari kukwama hapo inatakiwa uombe baraka zako kuna vitu vinakwamisha inabidi ukatae hzo roho zakukwamishwaNimeota nipo sehemu nisioijua ni kama mji hivi, umechangamka kiasi nikajikuta na mtu nisiemjua, tukaenda kwenye mwembe uliokua umemwaga maembe mengi lakini hayana muokotaji.
Basi tukaanza kuyaokota lakini mengi yalikua mabichi nikasema niokote mabichi ndio makubwa na la kuiva lilikua dogo nililiokota hivohivo, kwa pembeni kulikua na nyasi nikahisi uwepo wa nyoka mweusi mdogo, nikarusha jiwe sikujua kama lilimpata au la, nikajikuta kwenye mfuko nina embe moja tu lililoiva dogo.
Nikawa najiuliza inawezekanaje wakati nimeokota mengi sana na yule mtu alinipotea tu sikumuona, nikajikuta nipo mjini kwenye huo mji, kilichonifanya nijue hapa ni mjini ni wingi wa magari ajabu kila gari ninayotaka kuipanda imejaa na haisimami, mwisho ikaja gar haikua na watu wengi nikaingia lakini lile gari likakwama kuondoka.
Nikashtuka, inaweza kuwa kuna kitu gani kinaendelea? naomba kutafsiriwa kwa anejua.
hio timu nzuri anyway point kuu ni kuzidisha ibada kila kitu kitakaa sawa umenipa tafakuri sana leo nimeshinda siko sawa nafikiri mnoooKinacho kukwamish ni hayo uliosema maemb mengi mabichi (hayaliki ni machachu) yan watu wasio na faida au ambao hawakusaidii ni wengi, una ukoo wako lkn mambo mengi upo mwenyewe, Muombe Allah upate watu wenye faida ili ufanikishe jambo lko peke ako hutaweza tafuta timu nzuriii
asante sanaSio mtaalamu sana ila hapo gari kukwama hapo inatakiwa uombe baraka zako kuna vitu vinakwamisha inabidi ukatae hzo roho zakukwamishwa
asanteTafasiri ya LIKUD Majin inasema ni HIGHEST DEGREE OF GUNDU.
au sio mgonjwa mwenzanguNdoto ni sehemu ya magonjwa ya akili
Mie huwa sioti 😀au sio mgonjwa mwenzangu
kamdanganye mwanaoMie huwa sioti 😀
We miyeyusho Sana ujue.Mie huwa sioti 😀
You are well comehio timu nzuri anyway point kuu ni kuzidisha ibada kila kitu kitakaa sawa umenipa tafakuri sana leo nimeshinda siko sawa nafikiri mnooo
Inaonesha una asili flani ya Tanga any wayYou are well come
Ukijua namna ubongo ulivyojitengeneza huwezi kupoteza muda kufikiria mambo ya ndotokamdanganye mwanao
Ukiona unaota, unatakiwe uende kwa daktari wa magonjwa ya akili achukue vipimoWe miyeyusho Sana ujue.
😜😜 kwa ninjInaonesha una asili flani ya Tanga any way
sawa daktariUkijua namna ubongo ulivyojitengeneza huwezi kupoteza muda kufikiria mambo ya ndoto
nimeolewa mtaalam vipi kuhush hilo na ramli yako fekiMsikilize mtaalam Sasa,nyoka kwenye ndoto yyte huwasilisha uzinzi, na mizagamuo isiyo rasmi,maembe tuseme ni Wanaume na aina ya Wanaume,kifupi kuchagua chagua kutakufanya uchelewe kupata mtu sahihi,na Hilo litakucheleweshea Ndoa ambayo unaitamani.Upoo?